Mwan mpambanaji
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 482
- 131
Katika kufuatilia michango ya mawazo mbalimbali hapa jamvini,nimekuwa nikijiuliza swali hili je ungependa ukumbukweje?
Mimi binafsi ningependa nikumbukwe kama mtu mwenye dhamira safi na ya dhati katika ujenzi wa jamii bora,mtu aliyejitahidi kujenga jamii yenye haki na maadili ya kitz.
Mimi binafsi ningependa nikumbukwe kama mtu mwenye dhamira safi na ya dhati katika ujenzi wa jamii bora,mtu aliyejitahidi kujenga jamii yenye haki na maadili ya kitz.