RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,735
- 107,860
Kama Mo, Manji,Mengi wote vibonge sio.....Mimi masikini wengi huwa nawaona ni wembamba, na baadhi ya matajiri nawaona ni wanene sasa mimi huwa napata Picha kuwa kuna uhusiano fulani kati ya unene au wembamba na kipato cha mtu