Je, unayajua maneno haya?

Je, unayajua maneno haya?

Translator

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2017
Posts
286
Reaction score
297
Katika mambo ya utawala na menejiment (administration and management), kuna istilahi mbalimbali zinazohusika ambazo huenda hazijajulikana kwa wengi. Kwa mfano:

1. Mrejewa – referee (unayemuweka kwenye barua yako ya maombi ya kazi). Pia anaitwa mdhamini.
2. Masurufu – imprest
3. Posho ya kujikimu – subsistence allowance
4. Posho ya takrima – entertainment allowance
5. Posho ya ukaimu – acting allowance
6. Sitirifu – confidential
7. Kadimisho la uteuzi – offer of appointment
8. Mwelekezi – consultant
9. Watoto tegemezi – dependent children
10. Bainifu – outstanding
………….
Kiswahili kinasonga mbele.
 
Hiyo namba 10 ni msimama nje.
Sina uhakika na hiyo maana mkuu, 😀😀 lakini kwa muktadha wa utawala ni kama mtu akitaka kusema, kwa mfano:
This was an outstanding performance.

Basi tutasema: Huu ulikuwa ni utendaji bainifu.
 
Sina uhakika na hiyo maana mkuu, 😀😀 lakini kwa muktadha wa utawala ni kama mtu akitaka kusema, kwa mfano:
This was an outstanding performance.

Basi tutasema: Huu ulikuwa ni utendaji bainifu.
Naona uko kwenye teaching mode hata utani hutaki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom