Mousso drawing
Member
- Jun 6, 2019
- 49
- 24
- Thread starter
- #41
Mbona ckuelew ww unamaanisha nnMada za watu kuchaguachagua watakatifu
Mbona ckuelew ww unamaanisha nnMada za watu kuchaguachagua watakatifu
HelloMrembo
Haha kweli aseeHahaha akivuliwa akiona hile mambo anaweza akazimia ...JF siku hizi vitoto vingi ...unaweza kuta unamshauri mwanao alie standard 4 mambo mazito
Teh! Teh! We una bei gani
20kUnafeli sasa Mkuu
Mimi ndiyo nimeuliza kwanza
😆😆😆😆😆 kwahio mwamba anaemgonga mama yake Mondi unaona yupo sawa kabisa kiakili?Afu mahusiano yanavyozingua siku hiz,sijui mnachagua nn.Oaneni tu mtakapoishia ni hapohapo
MambooHello
Mimi naona kawaida tu. Tangu miaka ya 60 mapenzi yapo hivoUnabisha ungali unaona! Aisee,u can't be serious?
Yuko sawa,mbunye ni mbunye tu😆😆😆😆😆 kwahio mwamba anaemgonga mama yake Mondi unaona yupo sawa kabisa kiakili?
Huyo anakuigizia tu. Hakuna upendo wa dhati hapo
SawaMkuu yupo jamaa yangu ana mke wake wanaishi vizuri kabisa, jamaa kazidiwa almost 5yrs ila kwa jinsi wanavyopendana aisee.
Ingekuwa yupo na mtu wa chini kiumri nadhani ndoa ingeshaingia dosari ila kwa huyo mdada wanaishi vizuri kabisa aisee.
Mbona gape ya miaka mitano ni fair kabisa...
Mwanamke niliyemzidi au aliyenizidi miaka mitano kwa nini nisioe...
Cc: mahondaw