uvugizi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,235
- 874
Always ninaamini katika hili kuwa nikiweza kusoma vitabu vyote duniani , basi ninaweza kutatua Matatizo yote duniani .
Lakini kwa kuwa sina matatizo yote inabidi nichague vitabu vya kusoma.
Ukitaka kuwa makini kwenye Maisha entertain questions , karibisha Maswali , jiulize sana kwa kutaka kujua , si kwa kutaka kupinga
Kwa wale ambao wanataka kuwa na ubongo mpana , nalenga vijana wangu wanaonifuata on Facebook si wote wanaonifuatilia , nimechagua kwa sasa JF , kama walivyoshauri kuwa kama platform na Media ya mentorship programme. post nyingi zingine nahamishia huku kutoka facebook kuwafikia wengi zaidi
Vitabu vya kusoma ni 6 tu , jiangalie upo wapi katika fani gani na nini ukijua kitakufanya uwe na potential , nakushauri hadithi na sinema za bongo movies/vitabu za maisha ya kusikitisha hazikufikishi popote kama zitachukua nafasi kubwa kwako ,
mfano huu hapa , kwa mimi.
1. Self help books( siwezi kuingia katika jambo jipya bila ya msaada wa vitabu at least 5 au CD )
2. Skill building books( Kama sasa naendelea na Marine logistic kwa sababu soon Nina kazi nayo).
3. Language books(namalizia IELTS( the international English language testing systems).
4. Spiritual books ( hapa ndiyo nimezama sana na ni mtaalam kwelikweli na bado naendelea , on christology, freemasonary nk)
5. History books. ( hapa nasoma kama sehemu ya leisure)
6. Autobiography &biography ( napenda kusoma hivi vitabu wakati nafanya research)
Be inspired
Lakini kwa kuwa sina matatizo yote inabidi nichague vitabu vya kusoma.
Ukitaka kuwa makini kwenye Maisha entertain questions , karibisha Maswali , jiulize sana kwa kutaka kujua , si kwa kutaka kupinga
Kwa wale ambao wanataka kuwa na ubongo mpana , nalenga vijana wangu wanaonifuata on Facebook si wote wanaonifuatilia , nimechagua kwa sasa JF , kama walivyoshauri kuwa kama platform na Media ya mentorship programme. post nyingi zingine nahamishia huku kutoka facebook kuwafikia wengi zaidi
Vitabu vya kusoma ni 6 tu , jiangalie upo wapi katika fani gani na nini ukijua kitakufanya uwe na potential , nakushauri hadithi na sinema za bongo movies/vitabu za maisha ya kusikitisha hazikufikishi popote kama zitachukua nafasi kubwa kwako ,
mfano huu hapa , kwa mimi.
1. Self help books( siwezi kuingia katika jambo jipya bila ya msaada wa vitabu at least 5 au CD )
2. Skill building books( Kama sasa naendelea na Marine logistic kwa sababu soon Nina kazi nayo).
3. Language books(namalizia IELTS( the international English language testing systems).
4. Spiritual books ( hapa ndiyo nimezama sana na ni mtaalam kwelikweli na bado naendelea , on christology, freemasonary nk)
5. History books. ( hapa nasoma kama sehemu ya leisure)
6. Autobiography &biography ( napenda kusoma hivi vitabu wakati nafanya research)
Be inspired