Masuonline
Senior Member
- Jun 4, 2013
- 190
- 14
mkuu nami pia ninauhitaji wa hizo channel mkuu, barikiwaHizi ishu za programming kwa mm hapa naona ni za msingi sana na nimezifwatilia kwa karibu ilinijifunze programing katika pitapita zangu kutaka kujua programming nimekutana na channel kadhaa za telegram ambazo zinatoa course za kulipia za programming kutoka udemy bure ambapo kweny hizo course unaweza kuongeza ujuz wako.kama kunatakaye hitaj nimpatie hizo channel apate kujifunza anichek free kabisa