Je, unaishije au uliishije na wapangaji wambea?

Je, unaishije au uliishije na wapangaji wambea?

Lexus SUV

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2016
Posts
5,130
Reaction score
6,360
Karibuni katika uzi huu ....kwa suala moja tuu la kushauriana namna gani juu ya kuishi katika mazingira ya wapangaji wenye tabia mbili au tatu zinazo kinzana kibinafsi kama umbea ..., majungu..., u gubu ...,maneno machaf ...., kuseng'enya maisha ya wengine...,

karibuni tushauriane njia nzuri za kuishi mazingira ya namna hii ..,
waweza suggest njia zipi ama unazo tumia kuishi mazingira ya aina hii...,
mfano wa njia hizi ni kama ki gentleman agreement kama vile kuwapotezea , no discussion , ni wewe tu na maisha yako na kichwa chako.... , au ku wa chana live bila chenga...............au kuhama ?



KARIBU.
 
Hii ni changamoto sana kwa watu wengi.
SANA SEMA NJIA ZANGU NI GENTLEMAN AGREEMENT AU NON ALIGNMENT REACTION .........KIMYA KIMYA TUUU AU SILENCE MODE............KAMA JANA NILIFIKA SAA NNE USIKU MARA PAAAAAAAHHHH DAH ASEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE..... ASUBUI KUAMKA HAHAHAHA BORA YA JANA..........ILA OF COURSE KUHAMA HAPA NI BIG NO MAANA NDO MAHALI SAHII NTAJIPATIA KIUCHUMI.MAANA SAVINGS NAZOWEKA NI BALAAA
 
Ukiwa busy ni ngumu hata kuwaona usoni.... mchana hawana kazi,kazi yao kubwabwaja,wewe upo kazini unarudi usiku yamechoka yamelala,au mengine yapo kumwagiwa huko,yamechoka ...yanalala fofofo,kuamka saa 3 au 4 muda huo wewe upo kazini....saa ngapi nao🙄
 
N kutowajali tu waongee mpk wapasukeee,,mm jana na Rudi usiku Dem ananiambia Leo nimetokaa kwenda dukan nimewakuta wadada hapo njee ety wanamuuliza jana tumekuona umekuja na begi ndio edon kakuoa ,Dem akawajibu n kaka yangu 😄..
 
Umbeya Mjini ni Ajira
Wengine wanautumia kwenda kuombea Mikopo au kulia chakula cha mchana kwa Jirani.

Hivyo wapuuze tuu ndio ulaji wao ulipo
 
Hamia mahali pengine mkuu,hakuna sababu ya kukaa mahali wakati kuna sumu tiyari.
 
Picha linaanza .....una panga mahali wapangaji wanoko wao kila siku majungu tuu ,, maneno machafu hata kufanya ya maana hamna ....kazi kuu ni kuseng'enya wapangaji wachakalikaji

ukitumia njia ya ki gentleman agreement kama vile kuwapotezea , no discussion , ni wewe tu na maisha yako na kichwa chako....wana kuletea maneno chungu mzima ....kama anajiona kayapatia , mkorofi.....n.k

je wewe ulitumia au una tumia njia zipi kuishi nao ?

ISSUE ZA KUHAMA MAHALI SIO ...WEEE UNAONA HAPO NDO PAKUJITAFUTA...NA KUJIPATA KIUCHUMI.....BIG NOOOOOOOOOOOOOOOO KUHAMA...........


KARIBU.
Tumepanga watano nina mwaka wa 3 hamna anayejua ndan kwangu kukoje. Ni salam na bill za nyumba nmemaliza
 
Back
Top Bottom