TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,787
- 4,262
Kwani anavunja sheria?,au wanataka awazibue wao ? Siwamwambie tu jiranišš.Mi naona wewe unapiga matukio ya kuingiza mademu ndo maana unasemwa...
Kwani anavunja sheria?,au wanataka awazibue wao ? Siwamwambie tu jiranišš.Mi naona wewe unapiga matukio ya kuingiza mademu ndo maana unasemwa...
Kwenye kumwagiwa sasaUkiwa busy ni ngumu hata kuwaona usoni.... mchana hawana kazi,kazi yao kubwabwaja,wewe upo kazini unarudi usiku yamechoka yamelala,au mengine yapo kumwagiwa huko,yamechoka ...yanalala fofofo,kuamka saa 3 au 4 muda huo wewe upo kazini....saa ngapi naoš
Ilikuwaje mkuuUmenikumbusha dada fulani hivi nimecheka sana daaaaaaa
Ni stori ndefu ndio maana sijaandika, ila ilikua kila akirudi ni mwendo wa kelele tu ila mwishowe nikambandua ndio amani ikaja sasaIlikuwaje mkuu
Uswahilini unaibiwa nguo mchana, kila mtu anasema sijui, hajaona, alikuwa bize.
Usiku ukiingiza demu, asubuhi taarifa zimetapakaa, wanajua mpaka kama alivaa kikuku cha dhahabu ama silver š¤£
We unakuaga wapi wakati wanakusema na ulijuaje?Picha linaanza .....una panga mahali wapangaji wanoko wao kila siku majungu tuu ,, maneno machafu hata kufanya ya maana hamna ....kazi kuu ni kuseng'enya wapangaji wachakalikaji
ukitumia njia ya ki gentleman agreement kama vile kuwapotezea , no discussion , ni wewe tu na maisha yako na kichwa chako....wana kuletea maneno chungu mzima ....kama anajiona kayapatia , mkorofi.....n.k
je wewe ulitumia au una tumia njia zipi kuishi nao ?
ISSUE ZA KUHAMA MAHALI SIO ...WEEE UNAONA HAPO NDO PAKUJITAFUTA...NA KUJIPATA KIUCHUMI.....BIG NOOOOOOOOOOOOOOOO KUHAMA...........
KARIBU.
Kuna wakati inakua haina jinsisema kutia toia ovyo nako ni kubeba mnuksi tuuuu