Je, Unaishi sasa kwa bahati nasibu au uliwahi kuishi tena na tena?

RingaRinga

JF-Expert Member
Jul 10, 2015
1,047
521
Jiulize dunia na wanadamu wamekuwepo tangu miaka milioni ngapi?

Na je katika miaka yote hiyo wewe unaishi sasa tu na hautaishi tena hapa duniani?

Pamoja na uwepo wa imani zinazokubali uwepo wa Mungu na mafundisho yake, hebu jipe changamoto ya maswali hayo;

Swali la msingi:-
Ni kweli unaishi kwa bahati nasibu kwa kipindi hiki tu? (kilichostaarabika kati ya mamilioni ya miaka iliyopita na itakayokuja)

NB:Fikiri kwa uhuru!
 
Last edited by a moderator:
Jiulize dunia na wanadamu wamekuwepo tangu miaka milioni ngapi?

Na je katika miaka yote hiyo wewe unaishi sasa tu na hautaishi tena hapa duniani?

Pamoja na uwepo wa imani zinazokubali uwepo wa Mungu na mafundisho yake, hebu jipe changamoto ya maswali hayo,

Swali la msingi:-
Ni kweli unaishi kwa bahati nasibu kwa kipindi hiki tu? (kilichostaarabika kati ya mamilioni ya miaka iliyopita na itakayokuja)
NB:Fikiri kwa uhuru lakini muogope Mungu pia!
Usiweke limitations za Mungu kuna watu hawaamini katika Mungu
 
No more Limits Sir
Kwa wale wanaoamini katika reincarnation wanaamini kuwa wameishi katika maisha mengi in endless realm of SAMSARA (birth n death) in different forms of a living being depending on your past life
Wakati wale wanaoamini katika Mungu mmoja haya ndio maisha yao ya kwanza na ya mwisho
 
Kwa wale wanaoamini katika reincarnation wanaamini kuwa wameishi katika maisha mengi in endless realm of SAMSARA (birth n death) in different forms of a living being depending on your past life
Wakati wale wanaoamini katika Mungu mmoja haya ndio maisha yao ya kwanza na ya mwisho

Mm ni mkristo, lakini kwa kweli when I think of this ideology huwa napata shida, Kwamba kwa miaka yote hiyo sikuwahi kuishi? Kwamba nimeishi ss tu?
Kuna mada iliwahi kuongelewa humu kuhusiana na maisha baada ya kifo, lkn mm siko sana kwenye kile walichocoment wachangiaji.
Kila mmoja ajiulize tu iwapo kweli anaishi sasa tu na hakuwahi kuishi tena au hataishi tena ktk ulimwengu huu ambao umekuwepo kwa miaka mamilioni.
 
Mm ni mkristo, lakini kwa kweli when I think of this ideology huwa napata shida, Kwamba kwa miaka yote hiyo sikuwahi kuishi? Kwamba nimeishi ss tu?
Kuna mada iliwahi kuongelewa humu kuhusiana na maisha baada ya kifo, lkn mm siko sana kwenye kile walichocoment wachangiaji.
Kila mmoja ajiulize tu iwapo kweli anaishi sasa tu na hakuwahi kuishi tena au hataishi tena ktk ulimwengu huu ambao umekuwepo kwa miaka mamilioni.
Fuatilia comments za wengine utajifunza kitu! Kimsingi hakuna kifo kwa maana ya roho bali kuna kifo kwa maana ya mwili, roho hubaki milele katika maumbo tofauti Kama binadamu Kama mzimu Kama shetani Kama mnyama nknk, kwahiyo bado uko sahihi japo unaweza usikubaliane nami
 
Mr mshana jr kwa jinsi nilivyosoma maoni kadhaa, pamoja na mafundisho ya kikristu au kiislam, bado naona kuna haja ya kuishi maisha ya utakatifu ili kuepukana na aidha kufa kisha ukaishi km kiumbe wa ajabu km ulivyosema ama huishia jehanamu.

Na kwa kiasi fulani najaribu kujitambua kwa namna tofauti na nilivyojitambua kabla ya sasa, nataka kufanya kitu kitakachonihakikishia maisha bora zaidi ktk wakati ujao
 
Fuatilia comments za wengine utajifunza kitu! Kimsingi hakuna kifo kwa maana ya roho bali kuna kifo kwa maana ya mwili, roho hubaki milele katika maumbo tofauti Kama binadamu Kama mzimu Kama shetani Kama mnyama nknk, kwahiyo bado uko sahihi japo unaweza usikubaliane nami
Mshana huko kanisani kwako wakijua unayopost jf watakufukuza (manake nilisoma sehemu umesema nimefunga ndoa tena ya kanisani. Nilicheka sana)
 
Mr mshana jr kwa jinsi nilivyosoma maoni kadhaa, pamoja na mafundisho ya kikristu au kiislam, bado naona kuna haja ya kuishi maisha ya utakatifu ili kuepukana na aidha kufa kisha ukaishi km kiumbe wa ajabu km ulivyosema ama huishia jehanamu.

Na kwa kiasi fulani najaribu kujitambua kwa namna tofauti na nilivyojitambua kabla ya sasa, nataka kufanya kitu kitakachonihakikishia maisha bora zaidi ktk wakati ujao
Sasa kaka unaamini uwepo wa Mungu na ni Mkristo,mbona Biblia ipo wazi kuhusu maisha ya sasa ya Mwanadamu na maisha ya hapo baadae baada ya mtu kufa.? Au mwenzetu ni Mkristo wa dhehebu gani hilo lisilo fahamu vitu very obvious kama hivi.?
 
Sasa kaka unaamini uwepo wa Mungu na ni Mkristo,mbona Biblia ipo wazi kuhusu maisha ya sasa ya Mwanadamu na maisha ya hapo baadae baada ya mtu kufa.? Au mwenzetu ni Mkristo wa dhehebu gani hilo lisilo fahamu vitu very obvious kama hivi.?
Kasome tena ndugu yangu kuna mengi bado huyajui
 
Kasome tena ndugu yangu kuna mengi bado huyajui
Ndiyo tufahamishane sasa hayo nisiyoyajuwa,ndio maana tupo hapa jamvini kujuzana zaidi.Nachofahamu Mimi ni kuwa baada ya mtu kufa roho inasubiri hukumu kulingana na matendo yako hapa Duniani,iwapo ulitenda mema utaungana na watakatifu wengine kuishi maisha ya milele huko mbinguni paradiso,iwapo ulitenda mabaya ni motoni.

Zaidi ya hayo tunaomba kufahamu hayo tusiyoyajuwa..
 
Ndiyo tufahamishane sasa hayo nisiyoyajuwa,ndio maana tupo hapa jamvini kujuzana zaidi.Nachofahamu Mimi ni kuwa baada ya mtu kufa roho inasubiri hukumu kulingana na matendo yako hapa Duniani,iwapo ulitenda mema utaungana na watakatifu wengine kuishi maisha ya milele huko mbinguni paradiso,iwapo ulitenda mabaya ni motoni.

Zaidi ya hayo tunaomba kufahamu hayo tusiyoyajuwa..

Nimesoma na kile kinachoonekana km kunichallenge hapo juu na hiki ulichoreply kwa mshana jr nimekufananisha na mtu aliyekurupuka toka usingizini na kuanza kuchallenge aschokijua au kutetea asichokuwa na udhabiti nacho,

Mshana anaonekana km mwalimu katika maswala haya, ss ulichokifanya:- Ni kama umenyoosha mkono kutaka kunielewesha zaidi kwamba ww unajua kitu tofauti na thabiti kuliko opinion yangu kumbe ulitaka kupata tu nafasi ya kuuliza na si kama ulivyojinasibu hapo awali,
Nimeishia kucheka tu!!
 
Nimesoma na kile kinachoonekana km kunichallenge hapo juu na hiki ulichoreply kwa mshana jr nimekufananisha na mtu aliyekurupuka toka usingizini na kuanza kuchallenge aschokijua au kutetea asichokuwa na udhabiti nacho,

Mshana anaonekana km mwalimu katika maswala haya, ss ulichokifanya:- Ni kama umenyoosha mkono kutaka kunielewesha zaidi kwamba ww unajua kitu tofauti na thabiti kuliko opinion yangu kumbe ulitaka kupata tu nafasi ya kuuliza na si kama ulivyojinasibu hapo awali,
Nimeishia kucheka tu!!
Ni kweli mkuu, Mr. Mshana jr ni mwalimu kwetu,ngoja tuendelee kujifunza zaidi.Pole kwa usumbufu.
 
Ndiyo tufahamishane sasa hayo nisiyoyajuwa,ndio maana tupo hapa jamvini kujuzana zaidi.Nachofahamu Mimi ni kuwa baada ya mtu kufa roho inasubiri hukumu kulingana na matendo yako hapa Duniani,iwapo ulitenda mema utaungana na watakatifu wengine kuishi maisha ya milele huko mbinguni paradiso,iwapo ulitenda mabaya ni motoni.

Zaidi ya hayo tunaomba kufahamu hayo tusiyoyajuwa..
Hiki tunachokiita maisha baada ya kifo it's just a change of scene.... Kifo ni mwanzo wa safari ndefu na si Mchakato
 
Back
Top Bottom