Je, unahitaji line ya M Pesa?

Je, unahitaji line ya M Pesa?

DONALD

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2010
Posts
275
Reaction score
35
Kama unahitaji line ya M PESA
fuata maelekezo yafuatayo:-

i) TIN No.
ii)Lesseni ya biashara (iwe ndogo au kubwa),leseni ya biashara ni rahisi sana kupata,ulizia mamlaka husika
iii)Kitambulisho chako.

..line kutoka inachukua wiki 3 mpaka mwezi,na gharama ya line 1 ni kilo 2 tuu!

Kuna ambazo zilishatumitumiwa na mawakala wengine,so ukitaka kuchange jina liwe lako,mahitaji ni hayo hayo apo juu! ila unaweza endelea kutumia bila kuchange jina,so hayo mahitaji apo juu hayatakuhusu...!

kwa nayehitaji
tu anicheki apa 0755 927881................
 
Kama unahitaji line ya M PESA
fuata maelekezo yafuatayo:-

i) TIN No.
ii)Lesseni ya biashara (iwe ndogo au kubwa),leseni ya biashara ni rahisi sana kupata,ulizia mamlaka husika
iii)Kitambulisho chako.

..line kutoka inachukua wiki 3 mpaka mwezi,na gharama ya line 1 ni kilo 2 tuu!

Kuna ambazo zilishatumitumiwa na mawakala wengine,so ukitaka kuchange jina liwe lako,mahitaji ni hayo hayo apo juu! ila unaweza endelea kutumia bila kuchange jina,so hayo mahitaji apo juu hayatakuhusu...!

kwa nayehitaji
tu anicheki apa 0755 927881................

Uko Mkoa gani? Mimi nipo Mbeya na nahitaji unaweza nisaidiaje?
 
Kama unahitaji line ya M PESA
fuata maelekezo yafuatayo:-

i) TIN No.
ii)Lesseni ya biashara (iwe ndogo au kubwa),leseni ya biashara ni rahisi sana kupata,ulizia mamlaka husika
iii)Kitambulisho chako.

..line kutoka inachukua wiki 3 mpaka mwezi,na gharama ya line 1 ni kilo 2 tuu!

Kuna ambazo zilishatumitumiwa na mawakala wengine,so ukitaka kuchange jina liwe lako,mahitaji ni hayo hayo apo juu! ila unaweza endelea kutumia bila kuchange jina,so hayo mahitaji apo juu hayatakuhusu...!

kwa nayehitaji
tu anicheki apa 0755 927881................

Mi nipo Dom
 
Mbona kwa hivi sasa zinapatikana BURE tu mkuu au ndiyo mambo ya mujini?.......Kimbembe line ya Tigo Pesa bhana acha kuwaibia watu..........ni vizuri anayehitaji aende Vodacom achana na hawa Wasaka tonge........Nina hasiraaaaaa mura.......
 
Kama unahitaji line ya M PESA
fuata maelekezo yafuatayo:-

i) TIN No.
ii)Lesseni ya biashara (iwe ndogo au kubwa),leseni ya biashara ni rahisi sana kupata,ulizia mamlaka husika
iii)Kitambulisho chako.

..line kutoka inachukua wiki 3 mpaka mwezi,na gharama ya line 1 ni kilo 2 tuu!

Kuna ambazo zilishatumitumiwa na mawakala wengine,so ukitaka kuchange jina liwe lako,mahitaji ni hayo hayo apo juu! ila unaweza endelea kutumia bila kuchange jina,so hayo mahitaji apo juu hayatakuhusu...!

kwa nayehitaji
tu anicheki apa 0755 927881................

Vodacom imeingiliwa
 
Mbona kwa hivi sasa zinapatikana BURE tu mkuu au ndiyo mambo ya mujini?.......Kimbembe line ya Tigo Pesa bhana acha kuwaibia watu..........ni vizuri anayehitaji aende Vodacom achana na hawa Wasaka tonge........Nina hasiraaaaaa mura.......

Shukrani mkuu kwa taarifa.
 
..Just niconnect na mtu aliye dar,nitampa then atakufikishia,bila shaka mkuu@mawenzi...

maake mi nipo dar!
 
..kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni,nashukuru kwa kupata hiyo taarifa na naifanyia kazi!
lakini hakuna cha bure siku mkuu!....
 
...karibu mkuu,naamini una mtu (rafiki au ndugu) ambaye yuko dar,niunganishe nae upate line!
 
Kwa wale mamwinyi watatoa kilo 2 maana hawataki kujituma, vinginevyo karibia maeneo ya Mlimani City
 
Taarifa:kuuza line ya M-pesa ni makosa,hi yo kama umeshindwa biashara irudishe vodacom
 
Taarifa:kuuza line ya M-pesa ni makosa,hi yo kama umeshindwa biashara irudishe vodacom

A cha kuharibia wenzako bhana.
Kama hujiskii kupost nenda kakojoe ulale.
mi juzi nimeenda VODA kuchukua till Yang wamenila 120,000 unategemea nikishindwa biashara niwarudishie au niiuze ili kufidia PESA Yang...
Tunashukuru kwa taarifa ila sidhani kama umeombwa ushauri
 
Mimi ninazo za voda nauza laki 2 kamili anayehitaji aje pm ni za uhakika kabisa
 
..kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni,nashukuru kwa kupata hiyo taarifa na naifanyia kazi!
lakini hakuna cha bure siku mkuu!....
Ni kweli mkuu kwamba hakuna Zero cost......lakini isiwe kubwa kupitiliza.....!!!
 
Back
Top Bottom