Je, Unafikiri mvua ya saa moja kwa wadudu kama vipepeo ,sisimizi n.k wanaimudu kama vile wanadamu?

Laiti wangekuwa wanaongea tukawasikia, basi kwa majibu yao ungetoa machozi kwa kuwahurumia.

Mvua inaponyesha saa moja ni kubwa mno hata kwa binadamu, wengine hapo ni mafuriko na mageto kusombwa kabisa.

Fikiria kuhusu hao wadudu sasa!!
 
Hawa viumbe wanakitu kinachoitwa sixth sense ambayo inawawezesha kuchukua tahadhari na kujiokoa ipasavyo.

Quran tukufu imetaja sisimzi ambaye anatahadharisha wenziwe kuwa kuna kikosi fulani ya jeshi itakuwa inapita kwa hiyo wajifiche la sivyo watakanyagwa! Kwenye janga ile ya Tsunami pale Sri Lanka wanyama wote walikimbilia sehemu ya milimani kutoka ufukweni kabla ya tukio na walinusurika kifo. Wanasayansi wamegundua pia kuwa wanayama kama farasi, tembo, wanaweza kutabiri mtetemeko wa ardhi masaa kadhaa kabla ya tukio. So, viumbe wana in-built survival mechanism ambayo inawasaidia kujiokoa.
 
Dah
Hawa viumbe wanakitu kinachoitwa sixth sense ambayo inawawezesha kuchukua tahadhari na kujiokoa ipasavyo.

Quran tukufu imetaja sisimzi ambaye anatahadharisha wenziwe kuwa kuna kikosi fulani ya jeshi itakuwa inapita kwa hiyo wajifiche la sivyo watakanyagwa! Kwenye janga ile ya Tsunami pale Sri Lanka wanyama wote walikimbilia sehemu ya milimani kutoka ufukweni kabla ya tukio na walinusurika kifo. Wanasayansi wamegundua pia kuwa wanayama kama farasi, tembo, wanaweza kutabiri mtetemeko wa ardhi masaa kadhaa kabla ya tukio. So, viumbe wana in-built survival mechanism ambayo inawasaidia kujiokoa.
!
 
Viumbe hutofautiana na wao wana njia zao na wanazaliwa zaidi wakati wa mvua na wanaishi mda mchache sana
Kila kiumbe kina sababu zake za kuwepo hapa
Kuna chura anaganda miezi saba na hapumui barafu ikiyeyuka huyoooo anasepa kama alila jana tu
Kuna vipepeo kila akitaka kubadlika anaganda tena inaweza kumchukua miaka
Dunia hii ina miujiza sana
 
Mfano kuna wadudu uwa nawaona wanatoka chini ya ardhi mvua ikimaliza kunya sasa hawa so wanakimbia baridi hump linalosababishwa na maji maji au?!
 
Mbona logic ndogo mkuu hao damu yao sio moto kama yako binadamu yako ni moto sana ndio maana unahisi baridi damu ikipoa hutosikia baridi tena
 
Kama wew ulivyo na sense ya kwamba mvua itanyesha soon,wadudu na viumbe wengne walinyimwa akili ila sense hiz zingne ziko maradufu kwao, ushawai jiuliza y kumbikumbi mvua ikinyesha wanatoka,hutokea wap?

Ndio hzo sense sasa
Mmmh, kumbikumbi ni mchwa, acha chenga mzee, hamna cha sense wala nini hapo, hiyo ni stage ya kukua kufikia kuwa mchwa, wakisharuka baadae mabawa hupuputika, na hukutana dume na jike hapo huanza familia... Fuatilia vizuri hilo somo
 
Mbona logic ndogo mkuu hao damu yao sio moto kama yako binadamu yako ni moto sana ndio maana unahisi baridi damu ikipoa hutosikia baridi tena
Hivi wana damu? Damu ni yetu sisi kundi la wanyama, sio wadudu.
 
Kwa wepesi wao, nafikiri inawasomba bila ya kuwaua, ikikauka wanaendelea na maisha yao popote itakapowatupa.
 
Viumbe wengi sana hawa wadogo huzaliwa kwa wingi sana kipindi cha mvua
 
Hawa viumbe wanakitu kinachoitwa sixth sense ambayo inawawezesha kuchukua tahadhari na kujiokoa ipasavyo.

Quran tukufu imetaja sisimzi ambaye anatahadharisha wenziwe kuwa kuna kikosi fulani ya jeshi itakuwa inapita kwa hiyo wajifiche la sivyo watakanyagwa! Kwenye janga ile ya Tsunami pale Sri Lanka wanyama wote walikimbilia sehemu ya milimani kutoka ufukweni kabla ya tukio na walinusurika kifo. Wanasayansi wamegundua pia kuwa wanayama kama farasi, tembo, wanaweza kutabiri mtetemeko wa ardhi masaa kadhaa kabla ya tukio. So, viumbe wana in-built survival mechanism ambayo inawasaidia kujiokoa.
Mungu Mkubwa sana, hata mnyama kama Punda anauwezo wa kuona mashetani na malaika pia. Kama mashetani yanapita, sehemu ambayo Punda yupo, uwa na tabia analia, na Kama ikifika saa sita mchana Punda utoa mlio fulani ivi, Mungu ni fundi sana,

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom