kwayiyo point yako nini? JANABA ni dude gani? KISAYANSI ni nini?......acha Porojo! Piga PAPUCHI, OGA VIZURI,..JANABA NI mtu mwenyewe na matatizo yake wala Haisababishwi na uchepukaji!....bora ungesema magonjwa angalau ungeeleweka lakini siyo JANABA;
kumshauri mzinzi aogope JANABA ni sawa na kumshauri JANGILI aogope UMANDE!!!!!!