Je, unadhani Rais Samia kwenda kusemea Marekani kuwa kufanya Kazi na Hayati Rais Magufuli ilikuwa Ngumu analenga nini kati ya yafuatayo?

Walimshindwa kwenye chakula maana alikuwa hali chakula kisicho pikwa na mke wake wakaaona ile mbinu yafaa wakamnasa, KARMA will never stop haunting them all..
Kuna Mtu Mmoja kutoka Makao Upanga amesema kuwa waliusoma huu Mchezo mapema na Kumuonya kuwa sasa awe chini yao Kiulinzi, ila Yeye hakikubali na akaendelea Kuwaamini wa Makao Oysterbay ambako huko na kwa Wataalam baadhi wa Marekani na Urusi ndiko kwa 85% Mikakati yote ilisukwa na Shughuli nzima ikafanikishwa Mkutanoni Mkoani Morogoro.

Naomba nisiende mbali zaidi tu Ndugu.
 
Kwa kweli magufuli alikuwa na roho ngumu katili aliuwa sector binafsi hata mimi pia nilipoteza kazi na vijana Kibao tulipoteza kazi enzi zake angalia sasa toka aingie mama sector binafsi zinarudi kwa kasi zaidi ajira nje nje uwe na connection usiwe na connection ajira utapata point ni kusotea tu .magufuli alichangia kuaribu ndoto zangu hivyo mimi niko pamoja na mama na yeyote atakaye mponda magufuli. Yule mzee alikuwa afai kabisa
Kwahiyo unataka Kutudanganya kuwa huo Umasikini na Ujuha wako Uliokukomaa umesababishwa na Hayati Rais Dkt. Magufuli?

Je, kwa sasa baada ya huu Ujio wa Rais Samia yote hayo yameshakuwa Historia ndani ya Ustawi mzima wa Maisha yako kama Mtanzania?
 
Sina shaka bi.maza ndio alikuwa anapeleka file lote kama lilivyo kwa kigogo
Whistleblowers lazima wawepo kunusuru jahazi , unless kama zile taarifa za kigogo zilikuwa sio sahihi ,

Miaka 20 iliyopita kampuni ya Enron , ili file for chapter 11 bankruptcy, thanks to whistleblowers. It was rated five star company the day it filed for bankruptcy.

Ninachotaka kusema ni kuwa kwa kuwa taarifa nyingi za kigogo zilikuwa spot on , yoyote aliyekuwa anazivujisha anastahili pongezi.
 
Tabia ya kike kike ya kutoa siri za nyumbani kwako ni janga na laana kwa taifa. Huyu Maza kakosea sana hajui tu.
 
1. Anamshtakia Hayati Rais Magufuli kwa Wamarekani?

2. Anataka Kujitofautisha nae ili Wamarekani wampe sana Misaada?

3. Anawaomba Msamaha Kidiplamasia ili Wamarekani wampende?

4. Anathibitisha kuwa Waafrika wote tuna PhD's za Unafiki na Uzandiki tukiwa mbele ya Wazungu?

5. Anawaambia kama ameshindwa kutoa Siri hiyo Kwetu Watanzania na kaenda kuitolea huko Marekani hivyo hata wakihitaji Siri zingine za Kuichukua moja kwa moja Tanzania and we are kuwapa tu?

6. Amewawashia Taa ya Kijani Wamarekani kuwa kwa sasa Tanzania iko chini ya Bibi Mstaarabu na siyo Mkorofi Mwerevu aliyeondoka na Israeli, hivyo wanaweza kuja kuendelea kufanya Tanzania ni Shamba lao la Bibi kama zamani?

7. Anawataarifu rasmi kuwa sasa Tanzania ( Bara na Visiwani ) ni yao hivyo Washindwe tu wenyewe.
“One of the mistakes which some political analysts make is to think their enemies should be our enemies,” he said which was met by applause. “Our attitude towards any country is determined by the attitude of that country to our struggle. Yasser Arafat, Colonel Gaddafi [and] Fidel Castro support our struggle to the hilt. There is no reason whatsoever why we should have any hesitation about hailing their commitment to human rights as they’re being demanded in South Africa. They do not support [the anti-apartheid struggle] only in rhetoric; they are placing resources at our disposal for us to win the struggle. That is the position.” Nelson Mandela
 
1. Anamshtakia Hayati Rais Magufuli kwa Wamarekani?

2. Anataka Kujitofautisha nae ili Wamarekani wampe sana Misaada?

3. Anawaomba Msamaha Kidiplamasia ili Wamarekani wampende?

4. Anathibitisha kuwa Waafrika wote tuna PhD's za Unafiki na Uzandiki tukiwa mbele ya Wazungu?

5. Anawaambia kama ameshindwa kutoa Siri hiyo Kwetu Watanzania na kaenda kuitolea huko Marekani hivyo hata wakihitaji Siri zingine za Kuichukua moja kwa moja Tanzania and we are kuwapa tu?

6. Amewawashia Taa ya Kijani Wamarekani kuwa kwa sasa Tanzania iko chini ya Bibi Mstaarabu na siyo Mkorofi Mwerevu aliyeondoka na Israeli, hivyo wanaweza kuja kuendelea kufanya Tanzania ni Shamba lao la Bibi kama zamani?

7. Anawataarifu rasmi kuwa sasa Tanzania ( Bara na Visiwani ) ni yao hivyo Washindwe tu wenyewe.
“One of the mistakes which some political analysts make is to think their enemies should be our enemies,” he said which was met by applause. “Our attitude towards any country is determined by the attitude of that country to our struggle. Yasser Arafat, Colonel Gaddafi [and] Fidel Castro support our struggle to the hilt. There is no reason whatsoever why we should have any hesitation about hailing their commitment to human rights as they’re being demanded in South Africa. They do not support [the anti-apartheid struggle] only in rhetoric; they are placing resources at our disposal for us to win the struggle. That is the position.” Nelson Mandela
 
Sema tu aliwaumizeni Wapumbavu na Mafisadi wengi, ila siyo Watu makini na waliokuwa Wakijitambua na kutenda Mema na ya Haki ndani ya nchi hii.
Yeye mwenyewe alikuwa fisadi mkuu na muuaji, ameacha matahila Kama wewe gentamicin ndio mnamtukuza fisadi yule
 
Ofcourse sio busara alichosema na huenda ikatafsiriwa kwamba ni unafiki ila technically inaweza pia ikatafsiriwa kwamba na huku waandishi wa habari wa huku ni wanafiki na waoga walishindwa kumuuliza swali kama hili huku na wale wa kule wameweza kumuuliza swali gumu..

Ila kiuhalisia najua wangemuuliza huku angesema mimi na JPM ni kitu kimoja...

Kwa mwanasiasa lazima utegemee mambo ya kisiasa siasa.., (ila ki-diplomasia nadhani amefail hilo swali angeweza kulijibu vizuri bila kuonyesha kwamba anakubaliana na yaliyotokea au kupingana na aliyekuwepo)

Hapa anaweza akawa amefunga goli moja la ugenini na kujifunga matano nyumbani
 
Back
Top Bottom