Mahari ni zawadi kutoka kwa mume anamzawadia mkewe na hakina limit kiasi gani,anaweza kumpa hata pete inategemea na uwezo wake,lakini sema sikuizi ndio kuna sijui mkaja,kilemba,bado sijui nini,few weeks ago rafiki yangu brother wake alipewa list ya mahari wallah nyengine hata sikuvijua ilibidi niulize ndio nini? KIBANI,MAJEMBE,MKAJA WA MAMA,BIBI WA BINTI,MJOMBA WA BINTI,SHUKA,BLANKET,KONDO,NG'OMBE,FEDHA YA NDANI, yani imekuja karibuni m7 manake wana ta kwa number nikajiuliza majembe anakwenda kulima? au blanket sijui shuka yani vitu Weird why wasinge sema tunataka just 7m full stop..yani niliishia lijiuliza jibu sikupata tuka changa nikawaachia na majembe na mashuka yao..