t444ztanzania
Member
- Jan 17, 2018
- 18
- 6
Mafuta ya t444z ni mazuri kwa kuotesha kukuza na kurefusha nywele kuzuia mbaa muwasho na,nywele kukatika
Na upara kwa ME?bei?![]()
![]()
![]()
![]()
Mafuta ya t444z ni mazuri kwa kuotesha kukuza na kurefusha nywele kuzuia mbaa muwasho na,nywele kukatika
Hiyo kibahundred ni ninTangaza ya KIBAHUNDRED ujaze watu hapa.
Mafuta ni 60,000Bei gani?
Kwa upara kaka angu yanaotesha sana nywele bei ni 60,000 mafutaNa upara kwa ME?bei?
Mimi nayatamani sana, mnapatikana sehemu gani???Mafuta ni 60,000
Shampoo ni 50,000
Conditioner ni 50000
Moisturizer ni 50,000
Eti kiba 100.Tangaza ya KIBAHUNDRED ujaze watu hapa.
Tunataka tufuge rasta; pia saluni tunaibiwa sana tunakipq sawa na wenye vichaka kichwaniKwa nini hamtaki upara?
Kwani ukiwa na kipara huwezi kufuga rasta? Unafuga rasta za kuzunguka upara!Tunataka tufuge rasta; pia saluni tunaibiwa sana tunakipq sawa na wenye vichaka kichwani
Teh teh teh tehKwani ukiwa na kipara huwezi kufuga rasta? Unafuga rasta za kuzunguka upara!
NdiooNikitumia halafu upara usiondoke mtanirudishia hela yangu??