chai ya rangi
JF-Expert Member
- Mar 7, 2026
- 1,039
- 3,084
hawa nitawaangalia kuanzia udogoni, mwenye akili zaidi nitampeleka SUA akajiendeleze kielimuHao panya ukiwaua wakiwa watoto au wakiwa wakubwa bado utakuwa umewaua tu.
Bora uwauwe wote sasa kabla hawajafanya uharibifu mkubwa.
Sasa utawalisha nini ikiwa wewe mwenyewe unashindia chai ya rangi ?hawa nitawaangalia kuanzia udogoni, mwenye akili zaidi nitampeleka SUA akajiendeleze kielimu
kama mama yao amekua na amewazaa hapa maana yake ameona hapa ni sehemu salama kwa watoto wake na amenionyesha imani ya hali ya juuSasa utawalisha nini ikiwa wewe mwenyewe unashindia chai ya rangi ?
Hongera mkuu. Wapatie chai ya rangi.View attachment 3564960
Huyu panya ungemuua au ungemuhurumia kwaajili ya watoto wake ?
Mimi binafsi ninamuacha ila tutakuja kupambana hapo baadae watoto wakishakua wakubwa, na watoto wakiwa wakubwa na kuanza usumbufu hapo ndipo nitaanza kudeal nao kwasababu sasa hivi hawajui chochote bado
sababu nyingine ya kuwahurumia hawa watoto ni kwasababu wanaweza kuwa taifa la kesho anaweza kutokea panya kama Magawa mwenye umuhimu kwa Taifa
Muue mama yao baki na vitoto uvilee..kama mama yao amekua na amewazaa hapa maana yake ameona hapa ni sehemu salama kwa watoto wake na amenionyesha imani ya hali ya juu
Hawa si ndo wana ugonjwa wa tauniMkuu ukiwafuga vizuri ujue ni kitoweo hicho kina protini nyingi.
Mana huyo panya ni nyama nyeupe mkuu chai ya rangi
Hamna mara moja moja tu ukila huwezi kupata.Hawa si ndo wana ugonjwa wa tauni
Hamna mara moja moja tu ukila huwezi kupata.Hawa si ndo wana ugonjwa wa tauni
Kama mama yao alibebea mimba kwa jamaa na kazalia hapo kwa jamaa,nina imani fika kuwa panya alikuwa anakula na kushiba vizuri tuSasa utawalisha nini ikiwa wewe mwenyewe unashindia chai ya rangi ?