Je, Umoja wa Ulaya (EU) walitaka kutikisa mbuyu wakajikuta wanatikisa makalio?

Kwa hili nakubali mkuu....... Russia, China na India India na sauth Africa ....wanamiliki robo tatu ya population ya dunia .... Marekan awe Makin na Hawa viumbe
 
Ni zamu yetu warusi kupeleka mashambulizi anko kaniambia jana anawazingua tu hatowauzia gesi wala nn mpk wapige magoti waseme kwa pamoja TUMEKOMA KAKA HATUTARUDIA TENA KUKUCHOKOZA TULISAHAU KM WEWE NI BWANA WETU TU SAMEHE!!!!!
Wamesema nisamehe Mimi ,,,, nimekosa Mimi ,,,nisamehe Sana
 
Mm watu niliwaambia ya kwamba nchi za magharibi zilipiga hesabu vibaya kwenye huu mgogoro watu wakakaza vichwa.
Kabisa mkuu ...... kwenye utawala wa Biden .....hili suala limemchafulia CV sana
 
walijua urusi ni Zimbabwe
!!! Wanaenda kufanya nn kwa Putin Kama wanayaweza yote !!? uchumi wa dunia umeshikwa na mrusi ,hakuna ubishi. gas,mafuta,mbolea!!!

Wamarekani wa tandale njooni huku,hapa naona mtakuwa mnapita tu.
Hahaha
 
walijua urusi ni Zimbabwe
!!! Wanaenda kufanya nn kwa Putin Kama wanayaweza yote !!? uchumi wa dunia umeshikwa na mrusi ,hakuna ubishi. gas,mafuta,mbolea!!!

Wamarekani wa tandale njooni huku,hapa naona mtakuwa mnapita tu.
Walijua wanadili na Taliban
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…