Je, umewahi kuwala samaki hawa?

Je, umewahi kuwala samaki hawa?

ndo umeishia apo kufikiria!
Wewe unaongea kwakua hujawala wa Tanganyika hata kama umekula ni mgebuka tu!
Nimewala samaki aina nyingi sana wa Bahari ya indi huko visiwani..Ziwa victoria nimewala sana pia mwanza
 
Habari?

Niko bara huku ndani ndani, nimewakumbuka sana samaki wa maji chumvi husunani nguru na kolekole:-

Ongezea majina ya samaki wa baharini unao wakumbuka:-

1. Nguru
2. Kolekole
3. Papa
4. Jodari
5. Sehewa
6. Pandu
7. Kaji
8. Kamba
9. Koana
10 Ngisi

11. Dome
12. Pweza
13. Tasi
14. Changu
15. Chewa
16. Chuchunge
17. Mkunga
18. Koazi
19. Pono
20. Hongwe
Mwalua
Ngalengale
Mzia
 
Kwetu hatuli samaki aina ya Mkundaji mizimu haitaki
 
Mkuu kuna huyu samaki kwa kiingereza anaitwa "bluefin tuna"ndio samaki gani hapo kwenye list,kwa anaejua please(ndio samaki ghali kuliko wote duniani)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom