Mirlz B Matthew
JF-Expert Member
- Oct 10, 2011
- 2,217
- 3,112
ndo umeishia hapo kufikiria!Samaki wanatoka ziwa Tanganyika tu uliobaki uchafu...
ndo umeishia hapo kufikiria!Samaki wanatoka ziwa Tanganyika tu uliobaki uchafu...
Wewe unaongea kwakua hujawala wa Tanganyika hata kama umekula ni mgebuka tu!ndo umeishia apo kufikiria!
MwaluaHabari?
Niko bara huku ndani ndani, nimewakumbuka sana samaki wa maji chumvi husunani nguru na kolekole:-
Ongezea majina ya samaki wa baharini unao wakumbuka:-
1. Nguru
2. Kolekole
3. Papa
4. Jodari
5. Sehewa
6. Pandu
7. Kaji
8. Kamba
9. Koana
10 Ngisi
11. Dome
12. Pweza
13. Tasi
14. Changu
15. Chewa
16. Chuchunge
17. Mkunga
18. Koazi
19. Pono
20. Hongwe
Hivi utokako wanaishi binadamu, au sokwe wa Gombe?Samaki wanatoka ziwa Tanganyika tu uliobaki uchafu...
Both...Hivi utokako wanaishi binadamu, au sokwe wa Gombe?
Na binadamu wanakula hao samaki kweli,si sokwe?Both...
Wewe huumwi?
Ziwa Tanganyika pia kuna sangara..sato wapo mwanzaMavi yamembana sana, ila mkuu hawa sato na sangar/la wanatoka wapi
Migebuka,hatari saaaana.Ziwa Tanganyika pia kuna sangara..sato wapo mwanza
Nyama ya papa umeipata wapi mkuu?Namba 7,9, 16,18 na 20 ndio sjawahi kuwala waliobaki nimewala.
Pono..mtamu?
huku wanauza wa kuanika na chumvi we unamnunua unaenda mpika either kwa kumchoma kwa mchuzi wa embe tunaita zodo au kwa nazi. Anauzwa hata kwa vipandeNyama ya papa umeipata wapi mkuu?
Wengi tu!Hivi kuna aliye wai kula Nguva?!
Nasikia Ni watamu Kama nyama ya ngombeWengi tu!