Je, umewahi kuwala samaki hawa?

Je, umewahi kuwala samaki hawa?

decomm

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2013
Posts
726
Reaction score
666
Habari?

Niko bara huku ndani ndani, nimewakumbuka sana samaki wa maji chumvi husunani nguru na kolekole:-

Ongezea majina ya samaki wa baharini unao wakumbuka:-

1. Nguru
2. Kolekole
3. Papa
4. Jodari
5. Sehewa
6. Pandu
7. Kaji
8. Kamba
9. Koana
10 Ngisi

11. Dome
12. Pweza
13. Tasi
14. Changu
15. Chewa
16. Chuchunge
17. Mkunga
18. Koazi
19. Pono
20. Hongwe
 
Habari?

Niko bara huku ndani ndani, nimewakumbuka sana samaki wa maji chumvi husunani nguru na kolekole:-

Ongezea majina ya samaki wa baharini unao wakumbuka:-

1. Nguru
2. Kolekole
3. Papa
4. Jodari
5. Sehewa
6. Pandu
7. Kaji
8. Kamba
9. Koana
10 Ngisi

11. Dome
12. Pweza
13. Tasi
14. Changu
15. Chewa
16. Chuchunge
17. Mkunga
18. Koazi
19. Pono
20. Hongwe
Songoro

Ndolana
 
Sangara
Kambale
Kamongo
Ngogogo
Sato
Perege
 
Samaki wanatoka ziwa Tanganyika tu uliobaki uchafu...
 
Pandu ameir kificho ha ha ha ha ha ha pandu samakiii in babu duni voice
 
Samaki wanatoka ziwa Tanganyika tu uliobaki uchafu...
Kama upo Dar au ukanda wa pwani, kula kolekole wa kuchoma halafu ulete mrejesho kwa kulinganieha na samaki wa ziwa Tanganyika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom