Je umeshawahi kutendwa VALENTINE?

I'l never ever trust a man even a dead one.wanaume baba yao mmoja,wanafanana kama machungwa ya kariakoo.nawachukia na siwapendi sana sana nawatumia ninapowahitaji ila kamwe sitafal kwenye trik zao milele.sijawahi kuwa na mpnz valentine yeyote zaid huwa nakuwa peke yangu nikijipa raha.ila huwa inauma kwan sehemu zote ninazokwenda wanakuwa wawili wawili. Ila afadhali hii kuliko hayo maumivu ya wavaa suruali
 
akutake radh ya nini?kwan kufananishwana mwanamke tusi?

eee... Yan ee... Haya sasa naona ninaweza kuvalishwa sket cku co nyng ninamkumbuka ma best MICHELLE aliniomba badilishe aravant nikakubal lakn bado 2uu ninalazmishwa kuwa huko cjui safu hii ninatatizo gan mm na kuwa mtoto wa kike haya vyovyote mtakavyosema poa 2uu ila mm ni DUME. Michelle where are u ma best
 
I'l never ever trust a man even a dead one.wanaume baba yao mmoja,wanafanana kama machungwa ya kariakoo.nawachukia na siwapendi sana sana nawatumia ninapowahitaji ila kamwe sitafal kwenye trik zao milele.sijawahi kuwa na mpnz valentine yeyote zaid huwa nakuwa peke yangu nikijipa raha.ila huwa inauma kwan sehemu zote ninazokwenda wanakuwa wawili wawili. Ila afadhali hii kuliko hayo maumivu ya wavaa suruali

eti dah! Ila wangu hapo unapishana na mm kidogo ila wanawake nyny ndo washenz sana yan hv kwanini mnakuwa na roho za namna hyo mana hamridhiki hata mmewe nini hamlidhik yan mnaweza mkawa na wanaume miambil lakn kila atakae kufuata bado utasema ndio hv hamuon mnajishusha cv m2 wangu. Khs kuwachukia wanaume hyo co dawa dawa ni kuwapima m2 wangu ila kwa nyny wala hampmik take care
 
eti dah! Ila wangu hapo unapishana na mm kidogo ila wanawake nyny ndo washenz sana yan hv kwanini mnakuwa na roho za namna hyo mana hamridhiki hata mmewe nini hamlidhik yan mnaweza mkawa na wanaume miambil lakn kila atakae kufuata bado utasema ndio hv hamuon mnajishusha cv m2 wangu. Khs kuwachukia wanaume hyo co dawa dawa ni kuwapima m2 wangu ila kwa nyny wala hampmik take care

dawa ya wanaume ni kuwachakachua tu day ya valentine piga chini mlala hoi ibuka na mtu pesa bana........
eti love love no moey so mtaenda wapi valentn day kama sio kuchakazana tu.....piga chini faster akatafute saizi yake huko......:clap2:
 
I'l never ever trust a man even a dead one.wanaume baba yao mmoja,wanafanana kama machungwa ya kariakoo.nawachukia na siwapendi sana sana nawatumia ninapowahitaji ila kamwe sitafal kwenye trik zao milele.sijawahi kuwa na mpnz valentine yeyote zaid huwa nakuwa peke yangu nikijipa raha.ila huwa inauma kwan sehemu zote ninazokwenda wanakuwa wawili wawili. Ila afadhali hii kuliko hayo maumivu ya wavaa suruali

Kula tano hiyo. Raha jipe mwenyewe na hakikisha kila siku kwako ni valentine full stop.
 
I'l never ever trust a man even a dead one.wanaume baba yao mmoja,wanafanana kama machungwa ya kariakoo.nawachukia na siwapendi sana sana nawatumia ninapowahitaji ila kamwe sitafal kwenye trik zao milele.sijawahi kuwa na mpnz valentine yeyote zaid huwa nakuwa peke yangu nikijipa raha.ila huwa inauma kwan sehemu zote ninazokwenda wanakuwa wawili wawili. Ila afadhali hii kuliko hayo maumivu ya wavaa suruali

natamani niamini unachokisema.....
 
Dush! Like someone else said..try to make each day a valentine..kwamfano, I was on of out of country workshop and only arrived on saturday,

then we had an out of town workshop, but while others left a day earlier..I decided to drive in the morning so I can spend one night with family..

And while this workshop is ending tommorow..I decided to drive back home today and suprise him! They were all pleasantly suprised!...

Make each day a valentine! It pays!

However...the downside is to drive extra early tommorow morning! Whoosh!

But doing homework with my daughter..putting little one to sleep..spending quality time with hubby..ahhh priceless!!!

Mhandisi

Mhandisi tafadhali ndugu, Kiswahili basi mimi napenda thread zako nizielewe vizuri maana nadhani wewe ni wa mfano kwa wake bora kama unayoyasemaga hapa JF ni ya kweli.
 
Unajua Remmy, inawezekana kabisa kunakuwa na cheating before this day... na huyo anayecheat ameweza kuwa-handle wote wawili bila tatizo. Sasa ikifika siku hii muhimu ambayo ndo inaitwa ya wapendanao, sasa inabidi watoke outing...anatoka na nani wakati alikuwa nao wawili au zaidi??? So kinachotokea ni kuchagua mmoja na kuwaaacha wengine kwenye mataa...wakiumia zaidi! Hivyo ndivyo ninavyofikiri. Poleni sana kwa walioumizwa!

Nina mawazo kama ya kwako, kwa mtu asiye muaminifu anashindwa awe upande gani siku hiyo hivyo inambidi achague upande anaouona bora zaidi na kuacha maumivu upande mwingine.
 
Mhandisi tafadhali ndugu, Kiswahili basi mimi napenda thread zako nizielewe vizuri maana nadhani wewe ni wa mfano kwa wake bora kama unayoyasemaga hapa JF ni ya kweli.

Thanks jn,
Samahani sana ninasema tusisubirie siku moja kufanya tutakiwayo kufanya kwenye mapenzi kwani kila siku iwe valentine
Kwangu nimeonyesha kuendesha gari kurudi kulala nyumbani siku 2 kati ya 4 za workshop iliyokuwa Bagamoyo..ni ktk kusuprise tu na kufanya mwenzio ajue anathaminiwa kwani mimi mara nyingi niko safarini so unapoweza kuwa na familia ni muhimu pia..
 
yamesha nikuta miaka 8 sasa na tangu kipindi hicho sijawahi kusheherekea siku ya valentine.... nilikuwa na mpenzi wangu tulipendana sana zaid ya miaka 5 tukiwa wapenzi na ndie aliekuwa mume wangu mtarajiwa tangu kipindi hicho hadi leo sitamani tena kuchumbiwa wala kuolewa nimewachukia wanaume

usifanye hivyo, nyanyuka pukuta vumbi endelea na safari, watu wanasema wanafanana hawa lakini sio kihivyo, tofauti ipo na utaiona
 
i'l never ever trust a man even a dead one.wanaume baba yao mmoja,wanafanana kama machungwa ya kariakoo.nawachukia na siwapendi sana sana nawatumia ninapowahitaji ila kamwe sitafal kwenye trik zao milele.sijawahi kuwa na mpnz valentine yeyote zaid huwa nakuwa peke yangu nikijipa raha.ila huwa inauma kwan sehemu zote ninazokwenda wanakuwa wawili wawili. Ila afadhali hii kuliko hayo maumivu ya wavaa suruali

what a touching story........ But it cant be bought even for free.... And your name is first lady,,,, so to whom?
 
i'l never ever trust a man even a dead one.wanaume baba yao mmoja,wanafanana kama machungwa ya kariakoo.nawachukia na siwapendi sana sana nawatumia ninapowahitaji ila kamwe sitafal kwenye trik zao milele.sijawahi kuwa na mpnz valentine yeyote zaid huwa nakuwa peke yangu nikijipa raha.ila huwa inauma kwan sehemu zote ninazokwenda wanakuwa wawili wawili. Ila afadhali hii kuliko hayo maumivu ya wavaa suruali

what a touching story........ But it cant be bought even for free.... And your name is first lady,,,, so to whom?
 
Thijawahi namtafuta wa kunipiga chini!!!
Pia mara nyingi nafurahia siku hii na my Family!!

Wanandg wa JF nimeona 2anzishe jukwaa la waliowah kuumizwa cku ya valentine. Kama umewah kukutwa na tatzo lolote juu ya mapenz cku ya valentine bac jielezee mm nikiwa mmoja wapo ctasahau cku hyo maishan mwangu kote. Kwan nilipigwa chn siku hyo na niliyempenda je na wewe imewah kukutokea hvyo? Jielezeee...
 
Back
Top Bottom