Tambara Bovu
JF-Expert Member
- Dec 19, 2007
- 585
- 140
I'l never ever trust a man even a dead one.wanaume baba yao mmoja,wanafanana kama machungwa ya kariakoo.nawachukia na siwapendi sana sana nawatumia ninapowahitaji ila kamwe sitafal kwenye trik zao milele.sijawahi kuwa na mpnz valentine yeyote zaid huwa nakuwa peke yangu nikijipa raha.ila huwa inauma kwan sehemu zote ninazokwenda wanakuwa wawili wawili. Ila afadhali hii kuliko hayo maumivu ya wavaa suruali