MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 350
- Thread starter
- #21
yamesha nikuta miaka 8 sasa na tangu kipindi hicho sijawahi kusheherekea siku ya valentine.... nilikuwa na mpenzi wangu tulipendana sana zaid ya miaka 5 tukiwa wapenzi na ndie aliekuwa mume wangu mtarajiwa tangu kipindi hicho hadi leo sitamani tena kuchumbiwa wala kuolewa nimewachukia wanaume
pole sana yan wewe upo kama mm ila mi nipo tofaut cwachukii wanawake ila ninawaa...