Nimepotelewa na mpenzi wangu anaitwa Me too natafuta pesa nyingi sana najua tutaonana tuKama umepotezana na ndugu,jamaa na marafiki na ungependa muonane kama sio kuwasiliana basi we kazana kutafuta fedha, yaani kuwa na mpunga tu wa kutosha. Suala la namba watajua wao watakako itoa