Je umeichoka google tanzania?! Je, unataka google international?

Je umeichoka google tanzania?! Je, unataka google international?

Joined
Dec 3, 2011
Posts
55
Reaction score
9
Je.umeichoka google Tanzania? Je, unataka google international?
Ndugu mwanajamii, kama majibu ni ndiyo kwa hayo maswali hapo juu basi fuatana name katika hatua chache zifuatazo;
Hatua 1: kuandaa search engine mpya
Hapa unachotakiwa ni kusogeza cursor mpaka sehemu urls zinapokuwa displayed. Then right click utaona

jamii 1.GIF
alafu chagua "edit search engine" Ukishabofya utaona hii kitu hapa
jamii 2.GIF

Then angalia kwenye list utaona kuna row iko tupu

Sasa hapa cha kufanya ni hivi: kwenye name we andika chochote unachotaka mfano " mtanganyikatz google search"
Kwenye key word itabidi utype" googlecustom" kama hauna mpango wa kuifanya default. Kama unataka iwe default then chochote utachotype hakita leta tofauti!
Ok! Then kwenye url kopi hii kitu alafu upaste; http://www.google.com/search?q=%s&hl=en&num=10&lr=&ft=i&cr=&safe=images&tbs=rl:1
Ok! Then bofya ENTER! Kazi imeisha!
Chagua search injini yako mpya kwenye list usisahau kuimake default!
Merry christmass
Anglizo: hii ni kwa wale wanaotumia google chrome tu!
 

Attachments

  • image5.png
    image5.png
    11.9 KB · Views: 52
  • image o.PNG
    image o.PNG
    42.9 KB · Views: 50
Back
Top Bottom