KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,577
- 8,596
Wakuu naomba mjikumbushe kwenye mambo yaliyokwisha tokea na yanaendelea kutokea!!!....Hivi huliwahi kumtaka msichana akakusumbua na akawa anakupiga chenga za hapa na pale ukavumilia yote?lakini ikatokea siku ukawauntest ukamwita mahali akaja japo hukupanga na hukuwa unategemea atakuja lakini kaja ukamwambia yoteukaona hapingi unaingia naye guest lakini mkifika anakwambia mimi niko katika skku zangu actualy namaliza leo au kesho!!wakati wewe ulisha ji tune una do ze nidful!!je huwa unafanyeje??au unahailisha unamwacha aende mpaka sikukunyingine??wakati mwenyewe unajua usumbufu wake!!??au una du ze niful hivyohvyo mipango ya mungu??.:A S 465: