Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,143
- 159,060
Mzungu wa4 inakuhusu leo baby.kwa kweli sijauona hadi sasa
Mzungu wa4 inakuhusu leo baby.kwa kweli sijauona hadi sasa
Mwenza mimi kwakweli lazima niulize swali, unafikiri raha kunyima wenzio ubuyuNilishawahi na tumeachana (nimemuacha) mwezi huu mwanzoni.
P.S. sitaki maswali
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha
Niwatajeeeeee????Sijawahi kubahatika kuwa na mahusiano na mwanamke wa humu. Ila nadhani wanawake wazuri na wqnaojiheshimu wapo wengi.
Hongereni mliokutana humu.
Mwenza mimi kwakweli lazima niulize swali, unafikiri raha kunyima wenzio ubuyu
Wala leo sikuzuiii....anza nimekuruhusu.Niwatajeeeeee????
Kigezo cha kwanza ni lazima uwe na account bank au uwe umejisali kwenye huduma kama mpesa,tigopesa n,k maana huwa sitaki bebee apate shida kabisa ninapotaka kumfanyia miamala..hahahaHebu mwaga vigezo hapa naweza ghairi hata na tangazo lenyewe.
Kigezo cha kwanza ni lazima uwe na account bank au uwe umejisali kwenye huduma kama mpesa,tigopesa n,k maana huwa sitaki bebee apate shida kabisa ninapotaka kumfanyia miamala..hahaha
Hahaha,najua hicho kigezo hukikosi kabisa!
Mwenza maswali usiulize.
Yes nilikua naenjoy sana kuwa nae tatizo nikaja gundua Ana gf nikajitoa hapo. Najua ananipenda na anataka hata sasa hivi turudiane ila huo muda sina kwanza nshasajili wakubwa wake watatu mtaani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe hela kwanza.Wala leo sikuzuiii....anza nimekuruhusu.
Kigezo cha kwanza ni lazima uwe na account bank au uwe umejisali kwenye huduma kama mpesa,tigopesa n,k maana huwa sitaki bebee apate shida kabisa ninapotaka kumfanyia miamala..hahaha
Kwanini unasema hivyo shuniee??...Mangi bwana halafu nilichonote kwako wewe ujue mkorofi sana
Mwenza naomba ukae mbali tafadhali
Mwenza hii kama naikumbuka uliiongelea humu
Mweeeh haya mambo mbona yanakuwa mengi hivi.
Mwenza huo ni uhujumu, mimi sina hata mmoja alafu wewe unasajili wa3!! Namuomba mmoja basi.
Namtaka ambae yuko kama mume wetu.
Mwahija mtoto wa kikurya, toto jeupeee... Daaah ilianza kama utani vile nilikuwa naLIKE sana nyuzi zake, siku moja nikakuta meseji PM, tukachati mawili matatu mwishowe nikaomba namba ya simu, naye mtoto bila hiyana akanipa, tukaisahau jF kwa muda, tukawa busy Whatsapp mtoto kujitumia picha nikasema Mungu ni Mwema kwa kweli sikuamini hata kidogo mpaka siku tulipoongea kwa VideoCall nikajiridhisha pasipo na shaka kuwa she is beaut. Tukapanga siku tuonane, ile siku nilifika eneo la tukio kwa tahadhari sana, mpaka nilipoona mazingira si hatarishi nikajisogeza na ratba zingne zikaendelea. Kwa kifupi alikuwa anaishi kwa dada yake hapa Dar, naye alikuwa amemaliza chuo na kufanikiwa kupata kazi ofisi fulan maeneo ya posta. Na hapa ninapoandika post hii yeye anamuogesha kabinti chetu.
JF idumu... Idumu... Idumu zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naendelea bebeeYeleuwiiiiii, babe i love you too.