Mapolomoko
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 1,751
- 417
Thubutuu ili iweje
kosea kwangu uone, nitakavyo kubembeleza, mpaka utavua pichu mwenyewe
Thubutuu ili iweje
ulijifanya umekosea kumbe ndo ulimaanisha ila sema huyo mbunge alikupotezea tu.Thubutuu ili iweje
Mimi nataka niweke no yangu hapa nione kama kuna mtu ataikosea humu jf.
weka uone nitakavyokupigia fasta.
Ucjali nitaweka. Ila samahani hiyo picha ni wewe mwenyewe au ya kucopy na kupaste.
yani tungekuwa tunafahamiana ningehisi umeleta stori yangu, mimi na mume wangu ndo tulikutana namna hyo
mbona ulinidanganya kwamba hujaolewa? leo yamume yametokawapi?
Nimewahi tena tulidumu kwa miaka 3, ilikuwa bado kidogo tu nikamachumbie sema ndio hakuna mapana yasiyo na marefu
Kumbe ndo wewe?