Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Usimtafute piga kimya wewe, kwani yeye ndio mwanamke pekee aliyopo duniani?? No Matter how good is she, she can be replaced. Everyone can be replaced. Acha kujipendekeza kwake.
Natamani nikuweke vibao ujue
😀😀😀Nishapata experience siwez fanya ujinga tena...


namtafuta siku hiyo kumkumbusha tu alipendwa 😄sio kwa ubaya na siku hiyo one Message only
 
Mamaaae.

Kwanza ngoja niliieeee.

Naanza nikiwa chuo mwaka wa tatu nilibahatika kutokea kumpenda mdada mmoja kutoka moyoni yaani ile moyoni sio ya kuigizs yule dada aseme nini mimi nisifanye.

Akiumwa Hospitali pembeni niko,
Chakula maji kiuhalisia kwa asilimia kubwa nilikuwa naprovider mwenyewe.

Ila Yule dada viwango vyake vya kunielewa nadhani havikufika kwangu,

Katika kufanya yote mengine hata sijaayaandika humu wala hakuwa na muda na mimi.

Basi Katika kupata nisicholihitaji nakumbuka nilijifunza pombe hapo hapo.

Ashukiriwe Mungu miaka ikaenda nikaja kupata mwanamke ambaye mimi mwenyewe ndo alinipenda sana tena kwa dhati.

Kale kadada nilikuja kukutana nae ofisi moja ya serikali jamii kuna issue tulikuwa tunafuatilia wote nachokumbuka kwa hasira nikamtoa lunch nilitumia elfu 50 kwa ajili yake anione tu na hela.

Baada ya hapo kaanza kunitafuta na kuniambia ya kuwa nimekachunia nikacheka sana nikasema kiko wapi wewe... mpumbavu mmoja kwendraaaaaaaaaaaa
That is me..
 
Kiukweli nimekumbuka mbali mkuu, nimewahi kumpenda mwanamke fulani na yeye alinipenda sana ila baadae alibadilika nikaona isiwe tabu nikajiengua ingawa iliniuma sana lkn time heals, saiv namwona kawaida sana .. popote ulipo ulinifanya nijue upendo wa kweli upo.
 
Hii hali ilinikuta kwenye mahusiano yangu yaliyopita..nahisi nilikua attached sana kwa yule mwanamke.

Kwanza tulipendana sana, alinisaidia vitu vingi sana ukizingatia nilikua bado mwanafunzi wa chuo kwhyo alisolv vitu vingi. Hata matatizo yangu ya ujana yeye alinisaidia, kuna kipindi nilikamatwa nikakaa polisi wiki mbili nzma (nilikutwa na misokoto kadhaa ya weed so sikutaka yeyote home ajue) na huku polisi wanadai namba za ndugu ili wawambie waje kunitoa wao wapige hela mi nawambia sina namba yyte. Washkaji walivomwambia manzi akaja kunitoa, alilipa 400K ili kuua lile soo..na mbaya zaidi siku amekuja kunitoa kumbe ndo siku ambayo mother kapata taarifa so by the time tunatoka nje ya jengo la polisi tunakutana na mama..ile mother kuniona na kumuelekeza situation ilivokua she cried aisee halafu akam hug yule mwanamke wakalia sana pamoja! Nikazidi kumpenda..

Ikatokea kipindi nikampa mwanamke mwingine ujauzito, aliumia na akalia sana that day..akanambia nae alikua na ujauzito pia, alitaka kunifanyia surprise siku ya Graduation anambie. Lkn hakutaka kunikosa, mahusiano yakaendelea akanambia tulee tu hizo mimba. Nikaona i found an angel in person, she loved me hadi nikaogopa..mwanamke wangu wa pili ndo alitangulia kujifungua, nikapata a princess na huyu mwanamke aka suggest nimuite mwanangu Rowlene.

Baada ya mimi kupata mtoto mahusiano yakaendelea lkn kwa shida sana, kukaanza kutokea maugomvi mengine hayaelewek kabisa. Sometimes namuita ghetto inatokea tuu kanikosea kitu hasira zinanipanda nampiga akn hapohapo nakuja kugundua nmemkosea nambembeleza (lkn hapa nikawa naumia kwani ilibd tusahau kosa lake).

Mahusiano niliyapambania sana, nilihisi hakuna kitakachowezekana bila yeye. Ikafika kipindi najiaibisha (something i said I'd never do) ili kumfanya abaki.

Things turned from bad to worse aliposema anataka kuachana na mim kwan anahisi alikuja kwenye maisha yangu kama daraja tuu ili mm niwe na nimpendae..hapa pia nilipambania sana, i felt weak and cried a lot. Sikuliona kosa na kama ni yale madogo madogo nilifikiri tungeweza kuyasolv. I tried ndugu zangu lkn juhudi zangu ziligonga mwamba. Badae nikaja kugundua kuwa kuna kitu kagundua, alishika simu akakuta nmemsev yule mwanamke "Wifey".. Yeye hakua na shda kwa mimi kuwasiliana nae, ila tuu nimpende yeye peke yake huyu tuwasiliane tuu kama wazazi wenza. Hapo nikajua hakuna nnachoweza kufanya ili kumfanya abaki..na kumuacha siwez kwani i felt like i was loosing a part ov me!!

Ikafika kipindi nikaamua niache kujidhalilisha..nitakubaliana vipi na fact kuwa nnamkosa? Nikamuomba tuu nimkosee kosa ambalo litafanya mimi nayey tusitafutane tena, tuchukiane mno. Tukakubaliana kuwa sehem ya mwisho ya mahusiano yetu ilikua kama kiazi kilichooza, kila mtu aliumizwa..tukakubaliana tufanye kitu. Meenh nikafanya bonge moja la tukio ambalo kweli tulifanikiwa kupata tulichotaka. I hope she's fine huko aliko
Bangi mbaya sana
 
Uzi ulipopita kwenye recent nilikumbuka kuwa nilishawai toa ushuhuda wangu humu... nimetumia almost robo saa kutafuta comment yangu.....


Inshort Da'Vinci Nilikupinga before ila now... nimeamin nothing is parmanent...

Mrejesho niliendelea na binti.. mpaka mwaka jana nikaona kama naforce mapenzi..

nikaamua kumkaushi toka mwezi wa 8 last year na hatujatafutana toka hapo... birthday zangu for the past 8 year alikuwa anajua yeye tuu sio mshabiki wa birthday ila yeye on my birthday alijitaidi iwe day special kwangu... nilivyomkaushia nikasemaa nitamprove wrong on my birthday this year kama atafanya as usual


here i am.. hakuna kilichotokea that day... nikaona kumbe i was right.. alikuwa ananiigizia.. but nimepanga birthday yake ikifika i will do the same kama ninavyo fanya miaka yote kumuonesha tu kuwa nilikuwa simuigizii


Selikavu
4/4/2023
kwahiyo ndo mmeachana hivyo
 
Huu ni mtihani mgumu sana..shida inatokea tu kuwa attached with someone without knowing unakuja kushtuka tayari yupo moyoni...i wish ningekuwa na moyo kama wako lakini ndio hivo tena people we differ in handlin things ila kumpoteza unaempenda inauma sana aisee sikula siku 3 nashindia juice u guy popote ulipo I am doin just fine n am happy.Peace n Love.
 
Usimtafute piga kimya wewe, kwani yeye ndio mwanamke pekee aliyopo duniani?? No Matter how good is she, she can be replaced. Everyone can be replaced. Acha kujipendekeza kwake.
Natamani nikuweke vibao ujue
Basi msamehe
 
Nishapata experience siwez fanya ujinga tena...


namtafuta siku hiyo kumkumbusha tu alipendwa sio kwa ubaya na siku hiyo one Message only
Ngoja nmsaidie davinc....unampenda bado huyo mwanamke mkuu don't lie...

just amua moja mpotezee au go for her try hard this time go an extra mile.
 
Kinachotugharimu na kutuumiza ni Yale mazoea tunayokua nayo Kwa watu, I mean those best memories from them! Haki attachments za feelings zinaumiza sana. Anyways Mungu atusaidie aisee heart breaks hazizoeleki kabisa
Kabisaa
 
Mamaaae.

Kwanza ngoja niliieeee.

Naanza nikiwa chuo mwaka wa tatu nilibahatika kutokea kumpenda mdada mmoja kutoka moyoni yaani ile moyoni sio ya kuigizs yule dada aseme nini mimi nisifanye.

Akiumwa Hospitali pembeni niko,
Chakula maji kiuhalisia kwa asilimia kubwa nilikuwa naprovider mwenyewe.

Ila Yule dada viwango vyake vya kunielewa nadhani havikufika kwangu,

Katika kufanya yote mengine hata sijaayaandika humu wala hakuwa na muda na mimi.

Basi Katika kupata nisicholihitaji nakumbuka nilijifunza pombe hapo hapo.

Ashukiriwe Mungu miaka ikaenda nikaja kupata mwanamke ambaye mimi mwenyewe ndo alinipenda sana tena kwa dhati.

Kale kadada nilikuja kukutana nae ofisi moja ya serikali jamii kuna issue tulikuwa tunafuatilia wote nachokumbuka kwa hasira nikamtoa lunch nilitumia elfu 50 kwa ajili yake anione tu na hela.

Baada ya hapo kaanza kunitafuta na kuniambia ya kuwa nimekachunia nikacheka sana nikasema kiko wapi wewe... mpumbavu mmoja kwendraaaaaaaaaaaa
Wanawak wa Aina km hyo ni mademu wa mchongo wanafanya vitu ambavyo si sahih then apo baadae wanayakumbuka mazur waliokuwa wakitendewa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
😀😀😀Nishapata experience siwez fanya ujinga tena...


namtafuta siku hiyo kumkumbusha tu alipendwa 😄sio kwa ubaya na siku hiyo one Message only
Yaani nikiwaonaga watu kama wewe,wanaume wanateseka kisa wanawake natamani niwazabe vibao. Kwanini umtumie sms?? Kua alpha male...Kua katili kihisia. Amekuzingua mpotezee, kwani yeye ana kitu gani special ambacho wengine hawana??
Kama bado wampenda sema tu upewe njia za kumpata tena
👇👇
Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi
 
Basi msamehe
Nini kinawapata hadi mnakaa siku tatu eti hamli kisa mmeachwa?? Hua wanawapa vitu gani??
Au ni mimi tu sinaga upendo rohoni?
👇
 
Nini kinawapata hadi mnakaa siku tatu eti hamli kisa mmeachwa?? Hua wanawapa vitu gani??
Au ni mimi tu sinaga upendo rohoni?


Haya mambo yapo hata sielewi nimekubali kwenda na flow, nipendwe nisipendwe as long najipenda mwenyewe niko smart and healthy imetosha.

Mapenzi yalishakuwaga cursed enzi hizo, ndio maana nimeamua ku focus on business.
 
Back
Top Bottom