MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,466
- 14,882
Daahh bora ulipitia mapema. Si unaona sasa upo awarehakuna pesa ngumu kulipa kma ada, nlikula milioni moja chuo, nkitegemea ntairudisha. at the end of day sikua na kitu na chuo wanadai chao.. nkauza pc, cm 2 na kukopa nyngne .. nilijuta sana. mpka sasa vijana wangu ada nalipaga mwenyew, mdgo wangu alie chuo ada pia nalipa mwenyew, sitaki yanikute ya muosha huoshwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu apo ulitishaNilipewa mil. 1.6 nikalipie ada na michango mingine. Dah! Nilikula laki 6.
Nilikuwa nasoma day.
Baadae nikadanganya kuwa F6 wote wameambiwa tuhamie boarding ila lazima tuchangie pesa zaidi.
Hiyo ikanisaidia kurejesha nilizokuwa nimezipiga. Alafu nikahamia geto la rafiki yangu mmoja nikanunua misosi tu yakutosha.
Sent using Jamii Forums mobile app
👊👊👊Nlisomeshwa na kaka skutaka kum disappoint kwa namna yoyote ile ,hakika hakujuta kunigharamia...sishaur watu kula ada
Vyeti vya Mkwawa vilipelekwa Ifunda na huko Ifunda ofisi iliyokuwa inahifadhi vyeti iliungua moto na vyeti viliteketea kwahiyo cheti cha form six huna.
Cheti changu cha kumaliza mkwawa nilichukua Ifunda 2007.
Teh teh teh teh 🤣🤣🤣🤣 dah! Mkuu huchukua cheti toka 1996? Mpaka kikaungua? We noma aisee teh teh 🤣🤣😂😂😂Duuhhhh....mwanangu mie ndio nilikuwa najiuliza nikienda mkwawa naanzia wapi kuuliza chet cha form 6 graduate wa 1996.....wavivu wa fikra weshageuza shule kuwa university na wamepoteza na kuharibu historia za maisha ya watu.
sasa ifunda ndio hapo vyeti vimeungua....shubaaaaamiti.
Haha duh.shule yangu hii.Mimi nilikula pale MWANZA BABPTIST, sasa ishu ikawa,kulikuwa na mwalimu wa ambaye ni mzungu anaitwa Mrs Giddens..ndio alikuwa mwalim wa darasa aisee alifuatilia hadi aibu.mzee nyumbani anajua ada amemaliza nikaona nitunge uongo kwa mkuu Mwakanemela,nikamkomalia kuwa nimelipa ada yote ila sijapewa risiti...kwa ukweli .mkuu aligoma akasema hajaona ada yangu...sitasahau kabisa huo mwaka 2004,