Je, ulaji wa kuku wagonjwa una madhara?

kinywanyuku

JF-Expert Member
Jul 13, 2015
3,557
2,626
msaada wa kuku hivi kama unafuga kuku wa kienyeji halafu wakawa wagonjwa wanadalili za kufa maana wanatetemeka wanashindwa kutembea ukiwachinja uwale huwezi kupata magonjwa yao
 
Unajua saa nyingine unaweza ukawaza inakuaje mtu asiyesoma kabisa yaani mbumbumbu akaweza kuandika, hivi huu uzi umeandikiwa?
 
Back
Top Bottom