Kondom na vidonge vya uzazi wa mpango ni mipango ya kishetani yenye ajenda maalum ya kupunguza watu! Sasa kwa vile wasomi wetu wamekuwa wasomi uchwara, wameingia mikataba ya kishenzi na agents wa maruhani au mashetani kwa kujua au kwa kutokujua ili kutumaliza katika harakati zao za kuganga njaa!