James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,112
- 13,341
Faith, state, loved ones
tumboKuna tofauti gani ya kufa kwa ajiri ya dini na kufa kwa ajiri ya tumbo?
Kifo kipi kinaleta maana hapo?
Kwanini?tumbo
Maana ya dini ni njia ya kumtafuta hivyo basi njia imekwisha patikana tayari ambayo ni Yesu.Dini si inatoa mafundisho yake kwenye biblia? na wewe hizo habari za Yesu pia si umezitoa humohumo kwenye biblia?
Kila mtu naimani yake