Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,851
Mimi siko tayari kufa kwa ajili ya dini, sababu ni hizi hapa;
1. Yesu mwokozi alishakufa, hivyo nife mimi ili nimwokoe nani?
2.Dini nimezikuta na hata nikafa bado wataziendeleza tu iwe kwa haki au kwa ulaghai kama wafanyavyo baadhi ya watumishi wa shetani huku wakitumia Neno la Mungu.
3.Siendeshwi kwa mihemko bali Neno ambalo ndilo taa kwangu.
Yesu alikufa kwajili ya imani na sio dini.