#COVID19 Je, ukipata chanjo ya Corona ukitaka kusafiri unapima tena?

lodirofaa

Member
Jul 6, 2021
25
62
Wakuu nilikuwa nahitaji ufafanuzi je ukipata chanjo ya Corona ukitaka kusafiri unatakiwa upime tena?
 
Maelezo ya wizara yako wazi na yanaeleweka, chanjo haibadilishi chochote, unaweza kuambukizwa, kuambukiza na kufa pia hata baada ya chanjo.

Kupima na tahadhari inaendelea kubaki pale pale.
 
Back
Top Bottom