Je, uamuzi wa Jaji Rumanyika unathibitisha kuwa Mbowe alikuwa mfungwa wa kisiasa?

Nilikuwa napendekeza tu, huyu jaji tuanze kwa kumuita jaji chifu Sam Rumanyika. Ukisoma historia utakumbuka kulikuwa na Chifu Rumanyika wa Usowelo. Mimi mnirekebishe kama nimekosea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaposema "Sio mimi, ni sheria."Utakubaliana na wanaosema sheria na katiba zina mapungufu na vinahitaji marekebisho mapema/haraka?
Nenda karekebishe basi, tena mapema/haraka sana. Tusipotezeane muda hapa. Hakuna sheria na katiba hapa duniani ambazo ni kamilifu kwa asilimia mia.
 
Jaji katumia kifungu gani cha sheria kumwachia mbowe? Kiukweli jamaa alihepa dhamana na sheria iko wazi kwa mtu aliyeruka kihunzi, sasa Mheshimiwa Jaji katumia kifungu kipi kumwachia? Au yaleyale ya pilato?
 
Jaji katumia kifungu gani cha sheria kumwachia mbowe? Kiukweli jamaa alihepa dhamana na sheria iko wazi kwa mtu aliyeruka kihunzi, sasa Mheshimiwa Jaji katumia kifungu kipi kumwachia? Au yaleyale ya pilato?
Umeelewa ulichosoma? Kama hujaelewa omba ueleweshwe siyo kujidai unajuwa na huku hujui.
 
Nenda karekebishe basi, tena mapema/haraka sana. Tusipotezeane muda hapa. Hakuna sheria na katiba hapa duniani ambazo ni kamilifu kwa asilimia mia.
Hapa tatizo halikuwa sheria kutokuwa kamilifu. Issue hapa ni uvunjaji wa sheria alioufanya hakimu Mashauri na akapandishwa cheo.

Quid quo pro!

quid pro quo
/ˌkwid ˌprō ˈkwō/
noun


  1. a favor or advantage granted or expected in return for something.
    "the pardon was a quid pro quo for their help in releasing hostages
    "
 
Jaji katumia kifungu gani cha sheria kumwachia mbowe? Kiukweli jamaa alihepa dhamana na sheria iko wazi kwa mtu aliyeruka kihunzi, sasa Mheshimiwa Jaji katumia kifungu kipi kumwachia? Au yaleyale ya pilato?
Unataka aseme mara ngapi, ndio maana darasani wa kuvuta mkia hakosekani. Watu walijipeleka wenyewe mahakamani tarehe iliyofuata bila kupelekwa na polisi, utasemaje wameruka dhamana?

Kwa mazingira hayo hakuna kuruka dhamana labda ktk nchi ambayo mfumo wa sheria unadhibitiwa na muimla.
 
[QUOTE...j

Quid quo pro!

quid pro quo
/ˌkwid ˌprō ˈkwō/
noun


  1. a favor or advantage granted or expected in return for something.
    "the pardon was a quid pro quo for their help in releasing hostages
    "
[/QUOTE]Haikusaidii kitu kunukuu vijimaneno ambavyo wote tunavifahamu. Ukweli utabaki pale pale kuwa, kisheria, A.F. Mbowe hajawahi kuwa mfungwa. Sina tatizo na tafsiri yako ya ufipa, hiyo baki nayo huko huko.
 
Back
Top Bottom