Nafikiri utakua unamaanisha sajuki vengu, kama ni ndiyo basi kwa faida yako ameshafarikigi zamani tu.Hivi vengu bado anaumwa jamani?nimejikuta namkumbuka sa hivi
Umechanganya! Anazumgumziwa Joseph Shamba "Mrema wa original COMEDY"Nafikiri utakua unamaanisha sajuki vengu, kama ni ndiyo basi kwa faida yako ameshafarikigi zamani tu.
Ndoa ni ugomvi nini? Naona unazungukia hapo tu.Kama inavyofahamika kuwa mtu anapokuwa na majukumu mengi hususani ndoa huwa anakuwa serious sana.Hii inatokana na mambo mengi yanayomkabiri mtu ikiwemo magomvi ya hapa na pale, ni kawaida kwenye ndoa, je inawezekana mtu kaamka na hangover ya ugomvi na wife akaigiza vizuri.
Karibuni.
Yu hai. Bado anaumwa. So sad. Bado anapigania afya yake. Ktk harusi ya Joti amewakilishwa na nduguze wawili, wa kike na wa kiume!Hivi vengu bado anaumwa jamani?nimejikuta namkumbuka sa hivi
KwelUkishaoa Uwezo Wa Kufikiri Unapungua
Sajuki na vengu ni watu wawili tofautiNafikiri utakua unamaanisha sajuki vengu, kama ni ndiyo basi kwa faida yako ameshafarikigi zamani tu.
Masikini!anasuffer sana huyu kakaYu hai. Bado anaumwa. So sad. Bado anapigania afya yake. Ktk harusi ya Joti amewakilishwa na nduguze wawili, wa kike na wa kiume!
Una IQ kubwa ndugu....Kwanini haufikirii vise versa na unachokifikiria
Mungu ni mwemaMasikini!anasuffer sana huyu kaka
Daah kumbe!!Sajuki na vengu ni watu wawili tofauti
Nashukuru mkuu, kwa kunielekeza hiyo vengu ndo imenichanganya.Umechanganya! Anazumgumziwa Joseph Shamba "Mrema wa original COMEDY"