Je, tunahitaji Tume huru au tunahitaji Tume 'Zalendo na Adilifu' ya Uchaguzi?

Hauwezi kuwa kinyume na bosi wako.
Atakachokwambia ndicho utakachofanya
NI wazi tume ya uchaguzi imeegemea upande mmoja .huo ndo ukweli.
Kushindwa ni kawaida ila UNASHINDWAJE NDIO TATIZO..
Haiwezekani mwenzio umfunge mikono alafu umpige useme umeshinda
Kitu

Kitu kuwa huru na haki katika jamii ni kwa mujibu wa mlivyokubaliana kwa mujibu wa sheria au taratibu ktk jamii husika na ndio maana Kuna baadhi ya jamii mtu akishindwa kushiriki kazi ktk jamii anatandikwa bakoro
Na Sisi kama Tanzania ili kitu kiwe huru na haki ni lazima kitamkwe ktk katiba yetu,hivyo time yetu iko huru kabisa hata kama Kuna mambo hayako sawa cha muhimu ni kuomba kufanya mabadiliko ktk hizo sheria.
 
Hauwezi kuwa kinyume na bosi wako.
Atakachokwambia ndicho utakachofanya
NI wazi tume ya uchaguzi imeegemea upande mmoja .huo ndo ukweli.
Kushindwa ni kawaida ila UNASHINDWAJE NDIO TATIZO..
Haiwezekani mwenzio umfunge mikono alafu umpige useme umeshinda
Hapo sasa sio kwamba tume haiko huru bali watendaji ndio hawajiamini na Wana shida
 
Tuna rudi pale pale iwepo tume huru.
Ambayo watendaji wake wakuu hawachaguliwi na kiongozi aliyepo madarakani.
tena wasihusiane kwa Namna yoyote.
Kama rais anaweza kutengua uteuzi wa mwenyekiti wa tume unadhani kuna nini hapo?
Hatukatai ccm KUSHINDA ILA INASHINDA VIPI?
Hapo sasa sio kwamba tume haiko huru bali watendaji ndio hawajiamini na Wana shida
 
Tume ambayo haitariport directly kwa executive!!
Yaani boss anakupa ugali, hivi kwa akili ya kawaida unaweza kumwangusha kweli?

Afu eti matokeo ya Urais yaliyotangazwa na tume hii hayahojiwi hapa duniani...duh!! Hata mkoloni hakuwa na sheria kandamizi kama hii.

Uadilifu unamaliza yote hayo.
 
Tuna rudi pale pale iwepo tume huru.
Ambayo watendaji wake wakuu hawachaguliwi na kiongozi aliyepo madarakani.
tena wasihusiane kwa Namna yoyote.
Kama rais anaweza kutengua uteuzi wa mwenyekiti wa tume unadhani kuna nini hapo?
Hatukatai ccm KUSHINDA ILA INASHINDA VIPI?

Unajichanganya,soma makala vizuri,unaweza kupata tume ambay haichaguiwi na Raisi,ikalipwa na serikali,kwani hata hilo bunge na mahakama vinapata fungu kutoka serikali kuu.Tukiwa na kiongozi mkuu mwadilifu akachagua Tume adilifu,tutakuwa na uchaguzi wa haki.
Uchaguzi wa mwaka huu utakuwa wa haki kuliko vile ambavyo tunategemea,wajumbe na wawakilishi wa Tume kwa asilimia zaidi ya 90 ni waadilifu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom