Je TCU wametoa muda tena wa kuapply?

Je TCU wametoa muda tena wa kuapply?

Nmeingia kwenye web yao hamna kitu kama icho ww umebun tu
 
Yaaap wametoa cku tatu,.......... kwenye tovuti yao hakuna tangazo.
 
SIJAELEWA HAPA!

Yaani TCU wametoa nafasi nyingine ya awamu ya 4 ya kuomba tena nafasi za chuo?

Je kama ni kweli, ni kuanzia lini mpaka lini?
 
Back
Top Bottom