ubwindo
Member
- Jul 23, 2017
- 43
- 29
Habari zenu wote...
Niende direct kwenye mada kuna mtu namfahamu amepat shida ya figo, imepelelekea mpaka kua anasafishwa kila wiki hospitali.
Kinachonifanya niulize humu ni sababu aliyonipa ya kupata tatizo lake kuwa ni baada ya presha kupanda.
Je ni kuna ukweli hapo?
Nawasilisha.
Niende direct kwenye mada kuna mtu namfahamu amepat shida ya figo, imepelelekea mpaka kua anasafishwa kila wiki hospitali.
Kinachonifanya niulize humu ni sababu aliyonipa ya kupata tatizo lake kuwa ni baada ya presha kupanda.
Je ni kuna ukweli hapo?
Nawasilisha.