MlimaSayuni
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 6,543
- 11,644
Uchaguzi huu hadi sasa umekiua CCM kwa kiwango kikubwa sana.
Je CCM kama Taasisi itajitenga na Samia?
Tutarajie kitu, pia nashauri wagombea baadhi wa CCM wajitokeze na kuukataa uchaguzi.
Je CCM kama Taasisi itajitenga na Samia?
Tutarajie kitu, pia nashauri wagombea baadhi wa CCM wajitokeze na kuukataa uchaguzi.