dalali-mkuu
Member
- Oct 5, 2016
- 51
- 21
Wakuu,
Naomba kuuliza kama Tanzania kuna ma agent wa kazi za nje ya nchi.
Shukrani.
Naomba kuuliza kama Tanzania kuna ma agent wa kazi za nje ya nchi.
Shukrani.
Sisi wa sekta nyingne vp mkuumkuu unataka kazi gani?Elimu yako je?na una uozefu wa muda gani kazini?Kama course yako ina professional board, je we ni mwanachama?Ungekua mining ningeweza kukupa badhi ya links. Kama uko mining ,tafuta "camining" "morson international" "williams mining" "informine.com" nyingine utakuja kuziona unapoendelea kutafuta.Unahitaji kujiamini kwanza kwamba unaweza ,maana kazi hizo zina ushindani mkubwa na kuna ka -element ka ubaguzi sana huko maana wazungu wanapendelewa kuliko weusi hata kama wengi wao utakuta hawana vigezo .All the best man
mkuu unataka kazi gani?Elimu yako je?na una uozefu wa muda gani kazini?Kama course yako ina professional board, je we ni mwanachama?Ungekua mining ningeweza kukupa badhi ya links. Kama uko mining ,tafuta "camining" "morson international" "williams mining" "informine.com" nyingine utakuja kuziona unapoendelea kutafuta.Unahitaji kujiamini kwanza kwamba unaweza ,maana kazi hizo zina ushindani mkubwa na kuna ka -element ka ubaguzi sana huko maana wazungu wanapendelewa kuliko weusi hata kama wengi wao utakuta hawana vigezo .All the best man
kwenda kuwa mlinzi (security guard), na houseboy and house girl wapo,unaenda nchi za kiarabu...jiandae kwa ukatili wa kila namna kwenye hii sector
Kama sector nyingine pia, jaribuni kutafuta kwa google, linkedin, muwe na ile character ya"I can" and accept to compete on international level msiogope. You are better than many in this world, believe in yourself
vp kuhusu wanyama poriWatafute Infinite recruitment ndo wamejikita ktk kuwatafutia watu nje ya nchi (unskilled na skilled). Unajua kuendesha gari na ngeli unabonga vere wele nkupe maelekezo ukatesti zali zalini?
Tupe maujanja mkuuWatafute Infinite recruitment ndo wamejikita ktk kuwatafutia watu nje ya nchi (unskilled na skilled). Unajua kuendesha gari na ngeli unabonga vere wele nkupe maelekezo ukatesti zali zalini?
Nenda ofisi za PES (PRO ACTIVE SOLUTIONS) wapo mbezi beach karibu na rainbow hall. Wanatafuta sales assistants wa kwnda kufanya kazi Riyadh kampuni kubwa tu. Sharti uwe na leseni ya udereva na pia ngeli uwe unabonga. Pia nadhani watakua wameweka tangazo ZoomTanzania cheki.Tupe maujanja mkuu
Gari sijui ila ngeli naijua kakaWatafute Infinite recruitment ndo wamejikita ktk kuwatafutia watu nje ya nchi (unskilled na skilled). Unajua kuendesha gari na ngeli unabonga vere wele nkupe maelekezo ukatesti zali zalini?
Nje ya nchi ipi?, maana hata Kenya ni nje ya nchi.Wakuu,
Naomba kuuliza kama Tanzania kuna ma agent wa kazi za nje ya nchi.
Shukrani.