Uzeni ndege zote, nunua mitambo mipya, wekezeni hela kwenye zao la pamba, leteni wawekezaji toka china wakae Urafiki, Mwatex, Motex madisigner wapo wakutosha hata kama hakuna waziri anaenda kiwandani na sample za nguo za mtumba anawaambia nataka quality za nguo ziwe namna hii kwa gharama hii.
China wangefunga viwanda vyote vya nguo, ingebidi tutanue viwanja vyetu vya ndege kwa exportation.
Pesa nyingi sana tunapoteza kwa kuruhusu watu kwenda china kuleta nguo ambazo hazina quality. Wa dada wa mjini alishafanikiwa kupata kitako basi anafanya biashara ya nguo kila mdada mjini anaenda china kuleta nguo