Bishweko
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 4,545
- 3,184
Wanajamvi habari zenu, hongera kwa majukum mnayotimiza lakini pia poleni na matatizizo au shida mnazo kumbana nazo.Leo nitajaribu kuandika kwa kifupi mada yangu ili tuweze kuelimishana na kujuzana alafu mwisho tunaweza kufikia muafaka.
Nchi yetu imepitia na bado unaendelea kupitia wakati mgumu sana asa wa kisiasa na kijamii. Kuna mambo mengi yanatokea lakini yanatuacha midomo wazi huku tukiwa na maswali mengi ambayo kamwe majibu yake yanakosa mpaka tuingia mapumziko. Mfano, utekaji,ukamataji kiholela,kesi zisizo na faida kwa taifa,ufisadi, kauli za vitisho na jeuri asa kutoka kwa wanasiasa na watawala.
Kuna matukio yanayotokea nchini mapaka unaweza kujiuliza kama mada inavyosema . Je,serikali na Taifa limekosa washauri wema na wazuri? Je,Taifa limekosa statecraftmen ambao ni watu muhimu kwenye nyanja za uchumi,mambo ya kijamii,siasa nk..
Hakuna nchi iliyotulia na kufanya vizuri kama imekosa watu au team hiyo. Je,sisi kama Taifa watu wa hivyo tumewakosa au wapo ila wememezwa na mfumo mbovu au mfumo mbovu umewafanya wasiwe na umuhim na maana tena.
Sio faida serikali kuacha watu wake waote usugu kwa mambo mabaya yanayotokea maana kunaweza siku moja watu hao wakatae kuvumilia na kufanya maamuzi hatarishi au hatari kwa taifa lao.
JE,TAIFA LIMEKOSA WASHAURI,NI AKINA NANI WANAFANYA KAZI YA STATECRAFTMEN? KARIBU
AKIBAZI-ITAHWA
Nchi yetu imepitia na bado unaendelea kupitia wakati mgumu sana asa wa kisiasa na kijamii. Kuna mambo mengi yanatokea lakini yanatuacha midomo wazi huku tukiwa na maswali mengi ambayo kamwe majibu yake yanakosa mpaka tuingia mapumziko. Mfano, utekaji,ukamataji kiholela,kesi zisizo na faida kwa taifa,ufisadi, kauli za vitisho na jeuri asa kutoka kwa wanasiasa na watawala.
Kuna matukio yanayotokea nchini mapaka unaweza kujiuliza kama mada inavyosema . Je,serikali na Taifa limekosa washauri wema na wazuri? Je,Taifa limekosa statecraftmen ambao ni watu muhimu kwenye nyanja za uchumi,mambo ya kijamii,siasa nk..
Hakuna nchi iliyotulia na kufanya vizuri kama imekosa watu au team hiyo. Je,sisi kama Taifa watu wa hivyo tumewakosa au wapo ila wememezwa na mfumo mbovu au mfumo mbovu umewafanya wasiwe na umuhim na maana tena.
Sio faida serikali kuacha watu wake waote usugu kwa mambo mabaya yanayotokea maana kunaweza siku moja watu hao wakatae kuvumilia na kufanya maamuzi hatarishi au hatari kwa taifa lao.
JE,TAIFA LIMEKOSA WASHAURI,NI AKINA NANI WANAFANYA KAZI YA STATECRAFTMEN? KARIBU
AKIBAZI-ITAHWA