Je, TAESA bado inafanya kazi?

Je, TAESA bado inafanya kazi?

Ila hii system ilikuwa inaleta uhafadhali kidogo kwa wasio na waya
Walikua watu wanalalamika humu wanalipwa 150,000/mwezi km kibarua mkataba ukiisha unaanza kutapatapa tena, hawaajiri
 
Kuna Kijana Nilimsajili Lakini Mwisho ikaishia kupewa Qr code na Control namba kwamba Mimi ndio Nilipe.... Wapi Nilikosea??
Ulipe nini mshahara? Nnavyojua Mimi ni bure km Ajira Portal tu hakuna sehemu ya kulipia
 
MREJESHO,

Nilifanikiwa kuhangaika mpk nikajisajiri kwenye mfumo wa TaESA Online.

Sasa ngoja nisubiri feedback [emoji28]
Ilikuaje wakati wakusubimit maana mimi nikisubmit inanipeleka kwenye dashboard nacjui kama cv yangu imepokelewa ama vip ??
 
Msaada nimefungua account ya Taesa lakini kila niki update kwa namba iya nida nasema nida no already exist Kuna mtu imemtokea labda na akafanyaje?
 
Ngoja tuone maaana mini wamenileta hapa Tanga uwasa nasubiri wanipe mkataba wao tanga uwasa sijui wataniongezea hela
 
Back
Top Bottom