Je serikali ina mkono kwenye yote haya?

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,342
6,467
Kwa jinsi serikali inavyosema haihusiki (kama alivyoongea Emmanuel Nchimbi) je, hivi serikali inaweza kuhusika kwenye mambo haya yote ya kikatili kwa wananchi wasio na hatia ambao ni bread winners wa familia zao? Hivi ni awamu zote haya yanatukia?

Orodha kama ifuatavyo (aidha kuuliwa au kuumizwa):
1. Horace Kolimba
2. Kigoma Malima
3. Moringe Sokoine
4. Imran Kombe
5. Said Kubenea
6. Prof. Mwakusa
7. Dr. Mwakyembe
8.
9.
10.
 
Kwa jinsi serikali inavyosema haihusiki (kama alivyoongea Emmanuel Nchimbi) je, hivi serikali inaweza kuhusika kwenye mambo haya yote ya kikatili kwa wananchi wasio na hatia ambao ni bread winners wa familia zao? Hivi ni awamu zote haya yanatukia?

Orodha kama ifuatavyo (aidha kuuliwa au kuumizwa):
1. Horace Kolimba
2. Kigoma Malima
3. Moringe Sokoine
4. Imran Kombe
5. Said Kubenea
6. Prof. Mwakusa
7. Dr. Mwakyembe
8.
9.
10.

prof haroub Othman
 
Wakati tukiendelea kugumia kilichomkuta Dr. Ulimboka, kama kawaida lazima "conspiracy theories' ziwepo ili kujifariji kuwa kuwa aliyefanya hivyo ni nani na kwa malengo gani?.

'Conspiracy theory' Number 1: " It is "inside job"!.
theory hii ambayo ndiyo ya walio wanaamini kabisa ile ni kazi ya serikali, kwa msingi kuwa yeye ndio chanzo cha mgomo toka mwanzo, kwa hiyo, akishughulikiwa, mgomo ndio utamalizika rasmi, hivyo serikali ikawatumia vijana wake waitwao "the oparatives" wamshughulikie vile wataona inafaa, na kweli vijana wakaingia kazini na kilichotokea ni motokeo ya kazi "nzuri" ya vijana wale ambao wameitekeleza vibaya (incomplete), hivyo sasa kui embarass serikali!.

Wanabodi, hakuna ubishi, "the oparatives wapo", na hizo ndizo kazi zao, lakini naomba kutofautiana na simple thinkers wanaoamini its an 'inside job', kwa sababu ili "oparatives" waingie kwenye any 'covert' oparation, lazima kwanza waweke malengo, "what do they want to achieve", ili kujaustify "the motive behind", na kabla ya utekelezaji, lazima wapime, "impact" na "consequences" ndipo huamua "the best way" ya utekelezaji, na kwa vile "they are proffessionals", siku zote hutekeleza with very high degree za 'precise' na leaving no trace behind!.

Kilichomtokea Dr. Ulimboka ni kazi ya "amateures" kwa kuacha loop holes kibao ambapo ukiwa "deep thinker", uta doubt kama ile ni kazi ya "professionals", hivyo inawezekana kabisa sio "inside job", unless kilichofanyika kiwe ni tactics za vijana wa "inside job" to carry out kihovyo hovyo ili ionekana ni amateures na huko kumuacha aishi pia ndio lengo na sio aliachwa kuishi kwa bahati mbaya!.

Normal comon sense inanishawishi nijiulize, kama Dr. Ulimboka ndie adui wa serikali, kama serikali hiyo hiyo imeamua kumshughulikia kwa njia hiyo ili iachieve nini?. Ule msemo wa mchawi, mpe mwanao akulelee kwa imani kuwa hawezi kumdhuru!, hivi inawezekana kweli serikali yetu ndio iliyomshughulikia Dr. Ulimboka na kwa nanma ile?!. Kama ni kweli, hii ni kazi ya "inside job", then for sure, "hii itakuwa ni serikali ya vichaa!".

Conspiracy Theory No. 2. Could it be just a "Smear Caipaign"?!.
Adui wa adui yako ni rafiki yako, kwa vile Dr. Ulimboka ndiye kiongozi wa hii migomo, na hii migomo imeishaipasua sana kichwa serikali, hadi rais Jakaya Kikwete, akautangazia umma kuwa mgomo ule ni wa mwisho, na kwa vile sasa mgomo umeibuka tena na kuwafanya wote waliojifanya kuuepusha tangu mwanzo kuonekana wajinga, akiwemo rais JK, its obvious Dr. Ulimboka ndie alishaonekana ni adui wa serikali na kila mtu anajua, hivyo jambo lolote litakalomtokea Dr. Ulimboka, automatically, fingers zitakuwa pointed kwa serikali kuwa sio mshukiwa bali ni mhusika mkuu!.

Kwa msingi kuwa, Dr. Ulimboka ni adui wa serikali, automatically atakuwa ni rafiki wa maadui wa serikali, hivyo sasa amegeuka target nzuri kwa maadui wa serikali waliomo within, ambao hawaitakii mema serikali yao, wakaamua kumshughulikia Dr. Ulimboka ili kuiembarass serikali kunyooshewa vidole vya lawama kwa utaratibu unaojulikana kama "smear Campagn"!.

Could it be?.

Pole Dr. Ulimboka.

Get well soon!.

Paskali.

 
Kwa jinsi serikali inavyosema haihusiki (kama alivyoongea Emmanuel Nchimbi) je, hivi serikali inaweza kuhusika kwenye mambo haya yote ya kikatili kwa wananchi wasio na hatia ambao ni bread winners wa familia zao? Hivi ni awamu zote haya yanatukia?

Orodha kama ifuatavyo (aidha kuuliwa au kuumizwa):
1. Horace Kolimba
2. Kigoma Malima
3. Moringe Sokoine
4. Imran Kombe
5. Said Kubenea
6. Prof. Mwakusa
7. Dr. Mwakyembe
8.
9.
10.
Mkuu Mwanamayu, hapo umber 10 weka jina la Tundu Lisu
The scenario could be the same, and the motive behind the same!.
Get Well Soon Tundu Lissu.
Paskali
 
Back
Top Bottom