Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 7,170
- 8,622
Unaweza ukadhania ni utani au mdhaha. Lakini ukweli ni kwamba wanaCCM wengi hawamkubali Rais Samia kama kiongozi anayefaa kuwa rais wa taifa hili.
Huu ukweli kutowekwa wazi ndio tatizo kwenye taifa hili. Na ni Matatizo ambayo yanaligharimu taifa letu. Sababu wanaCCM wanatamka hadharani Kikwete amemuweka Samia kuwa rais kwa manufaa yake.
Manufaaa gani?
Kwa nini vurugu za Oktoba 29 mwaka 2025 zihusishe kifo cha hayati Magufuli na ufisadi wa Kikwete na familia yake?
Kwa nini mstaafu Kikwete alipendekeza rais Samia awe Mgombea bila kufuata utaratibu wa chama?
Najua kuna mtikisiko mkubwa sana ndani ya CCM.
Huu ukweli kutowekwa wazi ndio tatizo kwenye taifa hili. Na ni Matatizo ambayo yanaligharimu taifa letu. Sababu wanaCCM wanatamka hadharani Kikwete amemuweka Samia kuwa rais kwa manufaa yake.
Manufaaa gani?
Kwa nini vurugu za Oktoba 29 mwaka 2025 zihusishe kifo cha hayati Magufuli na ufisadi wa Kikwete na familia yake?
Kwa nini mstaafu Kikwete alipendekeza rais Samia awe Mgombea bila kufuata utaratibu wa chama?
Najua kuna mtikisiko mkubwa sana ndani ya CCM.