Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,496
- 272,168
View attachment 1061459
Huyu mtu kiukweli anayajua madudu mengi mno ya nchi hii , na kwa jinsi ya maelezo ya kamati ya maadili ya bunge , kuna chuki kubwa sana iliyochanganyika na wivu wa kimasikini uliojaa ushamba mkubwa sana ndani yake dhidi ya Assad.
Nashauri kwenye kipindi hiki cha mpito Profesa huyu aongezewe ulinzi .
Wenye akili wamenielewa .
Lakini viongozi wa bunge akiwemo Job Ndugai wana elimu nzuri tu .Mimi ninachoweza kusema ni
Sifa za kuwa mbunge ziangaliwe.
Hakuna haja ya kutafuta mchawi ni nani.
Huwezi kuwa na bunge ambalo ili uwe mbunge eti sifa iwe ni kujua kusoma na kuandika alafu unaingia bungeni kuisimamia serikali.
Haya ni maigizo ambayo kama hayataisha, maendeleo tutaishia kuyaona kwenye tamthilia za kifilipino
Serikali inayojali haya uliyoyaandika ingethubutu kumtimua CAG anayeibua madudu ?Ulinzi uongezwe huko kwenye ujenzi wa SGR na Stigler HEPD tujue raslimali zinazotokana na eneo linalo husika na ujenzi ni kiasi gani na taifa linafaidika vipi nazo. Mfano nagogo ya iti itakayo katwa.
Yasemekana wachina waliojenga TAZARA baadhi yao ni matajiri wa kutsha huko china kwa utajiri walioutoa kwenye raslima zilizopitiwa na ujenzi.
Tuwe macho tusizalishe matajiri wengineWaturuki, Wabeligiji na Waarabu contractors.
Yuko jamaa mmoha alikenga nyumba yake hakuingia gharama za mchanga. Mhanga aliupatakwenye eneo la ujenzi alipochimba mashimo ya maji taka.
Tuone sasa magogo ya miti itakayo katwa selous yatatasaidia vipi kupunguza gharama za ujenzi wa Bwawa la kuzalisha umeme.
Yawezekana uranium iko jirani hapo yote hayo na mengineyo serikali inayojali watu wake iyaangalie..
Serikali inayojali haya uliyoyaandika ingethubutu kumtimua CAG anayeibua madudu ?
Sawa mkuuMshauri CAG akague ulimi wake ulipojikwaa, asihangaike kuzoa maji yaliyo mwaika kwenye mchanga.
View attachment 1061459
Huyu mtu kiukweli anayajua madudu mengi mno ya nchi hii , na kwa jinsi ya maelezo ya kamati ya maadili ya bunge , kuna chuki kubwa sana iliyochanganyika na wivu wa kimasikini uliojaa ushamba mkubwa sana ndani yake dhidi ya Assad.
Nashauri kwenye kipindi hiki cha mpito Profesa huyu aongezewe ulinzi .
Wenye akili wamenielewa .
Ulimi ulijikwaa wapi aisee??au ninyi ni untouchable??Mshauri CAG akague ulimi wake ulipojikwaa, asihangaike kuzoa maji yaliyo mwaika kwenye mchanga.
Ulimi ulijikwaa wapi aisee??au ninyi ni untouchable??
Ulinzi uongezwe huko kwenye ujenzi wa SGR na Stigler HEPD tujue raslimali zinazotokana na eneo linalo husika na ujenzi ni kiasi gani na taifa linafaidika vipi nazo?. Mfano magogo ya miti itakayo katwa.
Yasemekana wachina waliojenga TAZARA baadhi yao ni matajiri wa kutisha huko china kwa utajiri walioutoa kwenye raslimali walizopata maeneo yale yaliyopitiwa na ujenzi.
Tuwe macho tusizalishe matajiri wengineWaturuki, Wabeligiji na Waarabu contractors.
Yuko jamaa mmoja alijenga nyumba yake hakuingia gharama za mchanga. Mchanga aliupata kwenye eneo la ujenzi alipochimba mashimo ya maji taka.
Tuone sasa magogo ya miti itakayo katwa selous yatasaidia vipi kupunguza gharama za ujenzi wa Bwawa la kuzalisha umeme.
Yawezekana uranium iko jirani hapo yote hayo na mengineyo serikali inayojali watu wake iyaangalie..
unashauri aongezewe ulinzinzi? kwa matishio gani aliyo nayo na unamshauri nani?ndugu/familia au serikali?
Lala sasa..Wenye akili tumemwelewa..ww endelea kijiuliza a/b/c/d
Untouchable ndio nini? Prof anatakiwa ajilaumu mwenyewe kwanza na pili kama wako walio mshauri juu ya kauli ya hila kule UNO radio.
Wewe mchawi ni kuiondoa CCM madarakani hata kwa bunduki!!Mimi ninachoweza kusema ni
Sifa za kuwa mbunge ziangaliwe.
Hakuna haja ya kutafuta mchawi ni nani.
Huwezi kuwa na bunge ambalo ili uwe mbunge eti sifa iwe ni kujua kusoma na kuandika alafu unaingia bungeni kuisimamia serikali.
Haya ni maigizo ambayo kama hayataisha, maendeleo tutaishia kuyaona kwenye tamthilia za kifilipino