Una japo kapicha please?Tulikuwa nae leo katika kumlaki mkulu
Mpaka sasa anaviandika ,ila tofauti na mwanzo,itakua kabonyezwa akae chonjo,lazima atakua aliharibu kwenye utumishi wake,maiti yaweza fukuliwa,akaambulia pressure na kisukaliMkoani Kagera Mzee Kagasheki alikataa kata kata kuwa miongoni mwa wazee watakaompokea Rais alivyokuja kwenye ziara ya kutoa pole mkoani Kagera baadae baada ya ziara ile kuna vijineno alianza kuwa anaviandika kupitia twitter.
Sasa je najiuliza Prof. Mark Mwandosya atavunja ukimnya na kwenda kumlaki Rais?
Karibuni watabiri.
Mzee Mwandosya aende asiende kwisha habari yake,Mkoani Kagera Mzee Kagasheki alikataa kata kata kuwa miongoni mwa wazee watakaompokea Rais alivyokuja kwenye ziara ya kutoa pole mkoani Kagera baadae baada ya ziara ile kuna vijineno alianza kuwa anaviandika kupitia twitter.
Sasa je najiuliza Prof. Mark Mwandosya atavunja ukimnya na kwenda kumlaki Rais?
Karibuni watabiri.
For what? unamjua mtu huyu au ni ndugu unataka awe abarikiwe?Mungu mbariki Mwandosya
umeumia sana !For what? unamjua mtu huyu au ni ndugu unataka awe abarikiwe?
Saana!! Mtu huyo hafai sana!umeumia sana !
Wewe ni Mwang'onda ?Saana!! Mtu huyo hafai sana!
Never!Wewe ni Mwang'onda ?
100% well said,wacha hawa waendeleze majungu tu.Aende asiende hapunguzi wala kuongeza chochote,watu wataenda kumsikiliza Mh Raisi na siyo mwandosya