Joselela
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 5,677
- 6,962
Yeye ni whistle blower...anatenbea na lundo la walinzi,wanakula bata haoooooo tena ana motorcade kuuubwa kuliko waziri mkuu,ukifika mwanza Igoma anamjengea baba yake hekalu,juzi tu kanunua udongo wenye rutuba wa kumwaga kwenye garden kwa million 6...milango madirisha ,taa na zagazaga nyinginezo kwa milion 54...na baba yake ana roho mbaya kuliko huyo dogo akikuta hata fundi anakunywa maji ya bomba la nje ni timbwili...dogo ana enjoy maisha aisee,pia anamiliki ghorofa tano mtaa wa rwagasore katikati ya jiji la mwanza
Zake ni chache!