Je, Polepole ni tapeli ?

Je, Polepole ni tapeli ?

Griss

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2025
Posts
337
Reaction score
1,945
Hazungumzii kabisa reforms

Hazungumzii kesi fake ya uhaini ya Tundu Lissu

Hagusii utekaji na wapinzani kuteswa mpaka hapo kafanya press mbili hajataja hata jina moja la mpinzani aliyewai tekwa na kupotezwa ameshindwa kumpa pole hata Father Kitima .?

Hazungumzii uyo mgombea urais mpya anayemta ndani ya CCM Kama atafanya reform kabla ya uchaguzi.

Nikikumbuka Kikwete ndeye alimuibua huyu tapeli kumleta kwenye bunge la katiba Kama ilivyo kwa makonda alivyomubua na akamtumia kuadaa umma kwenye utawala wa Magufuli. inawezekana kabisa Watanzania wanachezeshwa ngoma wasiojuwa.

Nawaambia Polepole ni tapeli kuliko kawaida anataka kufanya yale ya Dr Slaa, Mbowe, Lowassa,Shibuda,Membe,Sumaye&.com.

Na Watanzania mlivyo mazombie wengi mnachezeshwa ngoma msio ijua.

Nawaambia Huyu ni timu ileile wanatufanyia maigizo tu muda uende tukose reform endeleeni kuwepo mtaona kila rangi ambayo amjawai kuona.

No reform no Election!!
 
Hazungumzii kabisa reform

Hazungumzii kesi fake ya uhaini ya Tundu Lissu

Hagusii utekaji na wapinzani kuteswa mpaka hapo kafanya press mbili hajataja hata jina moja la mpinzani aliyewai tekwa na kupotezwa ameshindwa kumpa pole hata Father Kitima .?

Hazungumzii uyo mgombea urais mpya anayemta ndani ya CCM Kama atafanya reform kabla ya uchaguzi.

Nikikumbuka Kikwete ndeye alimuibua huyu tapeli kumleta kwenye bunge la katiba Kama ilivyo kwa makonda alivyomubua na akamtumia kuadaa umma kwenye utawala wa Magufuli. inawezekana kabisa Watanzania wanachezeshwa ngoma wasiojuwa.

Nawaambia Polepole ni tapeli kuliko kawaida anataka kufanya yale ya Dr Slaa, Mbowe, Lowassa,Shibuda,Membe,Sumaye&.com.

Na Watanzania mlivyo mazombie wengi mnachezeshwa ngoma msio ijua.

Nawaambia Huyu ni timu ileile wanatufanyia maigizo tu muda uende tukose reform endeleeni kuwepo mtaona kila rangi ambayo amjawai kuona.

No reform no Election!!
Kama Polepole asingejitoza wewe unadhani reform zingekuwa zimeshafanyika kwa sababu tu kuna watu wanapiga kelele? Polepole siyo mjinga... hawezi kudaka ajenda za CHADEMA kwa sababu wahuni wa CCM watapata sababu ya kufanya hoja yake isikubalike. Polepole ni mwanachama wa CCM na anapinga kilichofanyika ndani ya CCM.
 
Kusema kweli ni Tapeli tu yule bwana

Laiti watanzania tungekuwa makini wale waandishi wanaomuhoji wangeanza kumuuliza maswali magumu kuhusu uhusiano wake na mabaya ya awamu ya 5 kwanza kabla hawajampa platform. Hizi jamaa zimefanya mabaya sana mara kumi ya mabaya anayofanya SSH, ila sababu ya ujinga wa watanzania anataka tumuonee sympathy sasa hivi sababu hayumo kwenye kula keki ya Taifa atakavyo yeye japo kapewa tuvipande pande twa pembeni

Anyways Pole Pole msanii tu hamna kitu mle. Ni eidha yale yale ya kina Lipumba au kachanganyikiwa
 
Hazungumzii kabisa reform

Hazungumzii kesi fake ya uhaini ya Tundu Lissu

Hagusii utekaji na wapinzani kuteswa mpaka hapo kafanya press mbili hajataja hata jina moja la mpinzani aliyewai tekwa na kupotezwa ameshindwa kumpa pole hata Father Kitima .?

Hazungumzii uyo mgombea urais mpya anayemta ndani ya CCM Kama atafanya reform kabla ya uchaguzi.

Nikikumbuka Kikwete ndeye alimuibua huyu tapeli kumleta kwenye bunge la katiba Kama ilivyo kwa makonda alivyomubua na akamtumia kuadaa umma kwenye utawala wa Magufuli. inawezekana kabisa Watanzania wanachezeshwa ngoma wasiojuwa.

Nawaambia Polepole ni tapeli kuliko kawaida anataka kufanya yale ya Dr Slaa, Mbowe, Lowassa,Shibuda,Membe,Sumaye&.com.

Na Watanzania mlivyo mazombie wengi mnachezeshwa ngoma msio ijua.

Nawaambia Huyu ni timu ileile wanatufanyia maigizo tu muda uende tukose reform endeleeni kuwepo mtaona kila rangi ambayo amjawai kuona.

No reform no Election!!


Afadhali akili zimeanza kuwaingia wakuu. Huyu ni tapeli tu
 
Naye ni ng'ombe kama ng'ombe wengine akina gwaji boy Since wao ni wanachama wa CCM. Ila kwakuwa wamenyimwa posho wanajifanya kubwata sasa. Kipindi cha utawala wa Jiwe walikuwa wapi?
 
Hazungumzii kabisa reform

Hazungumzii kesi fake ya uhaini ya Tundu Lissu

Hagusii utekaji na wapinzani kuteswa mpaka hapo kafanya press mbili hajataja hata jina moja la mpinzani aliyewai tekwa na kupotezwa ameshindwa kumpa pole hata Father Kitima .?

Hazungumzii uyo mgombea urais mpya anayemta ndani ya CCM Kama atafanya reform kabla ya uchaguzi.

Nikikumbuka Kikwete ndeye alimuibua huyu tapeli kumleta kwenye bunge la katiba Kama ilivyo kwa makonda alivyomubua na akamtumia kuadaa umma kwenye utawala wa Magufuli. inawezekana kabisa Watanzania wanachezeshwa ngoma wasiojuwa.

Nawaambia Polepole ni tapeli kuliko kawaida anataka kufanya yale ya Dr Slaa, Mbowe, Lowassa,Shibuda,Membe,Sumaye&.com.

Na Watanzania mlivyo mazombie wengi mnachezeshwa ngoma msio ijua.

Nawaambia Huyu ni timu ileile wanatufanyia maigizo tu muda uende tukose reform endeleeni kuwepo mtaona kila rangi ambayo amjawai kuona.

No reform no Election!!
Anchokifanya slow slow ni kuituliza ccm ! Hakuna chochote anachofanya kusaidia Taifa hili ,,! Kuna jamaa zangu wa opposition nimewaambia hata maneno wakawa wakali mno wakidai mi ni pandikizi!!
 
Hazungumzii kabisa reform

Hazungumzii kesi fake ya uhaini ya Tundu Lissu

Hagusii utekaji na wapinzani kuteswa mpaka hapo kafanya press mbili hajataja hata jina moja la mpinzani aliyewai tekwa na kupotezwa ameshindwa kumpa pole hata Father Kitima .?

Hazungumzii uyo mgombea urais mpya anayemta ndani ya CCM Kama atafanya reform kabla ya uchaguzi.

Nikikumbuka Kikwete ndeye alimuibua huyu tapeli kumleta kwenye bunge la katiba Kama ilivyo kwa makonda alivyomubua na akamtumia kuadaa umma kwenye utawala wa Magufuli. inawezekana kabisa Watanzania wanachezeshwa ngoma wasiojuwa.

Nawaambia Polepole ni tapeli kuliko kawaida anataka kufanya yale ya Dr Slaa, Mbowe, Lowassa,Shibuda,Membe,Sumaye&.com.

Na Watanzania mlivyo mazombie wengi mnachezeshwa ngoma msio ijua.

Nawaambia Huyu ni timu ileile wanatufanyia maigizo tu muda uende tukose reform endeleeni kuwepo mtaona kila rangi ambayo amjawai kuona.

No reform no Election!!

Mambo ya lissu yanamhusu nini?

Mambo ya reforms Yana mhusu nini?

Yeye anaongea na wana CCM wenzake

Kama wewe sio ccm then hoja zake hazikuhusu
 
Hazungumzii kabisa reform

Hazungumzii kesi fake ya uhaini ya Tundu Lissu

Hagusii utekaji na wapinzani kuteswa mpaka hapo kafanya press mbili hajataja hata jina moja la mpinzani aliyewai tekwa na kupotezwa ameshindwa kumpa pole hata Father Kitima .?

Hazungumzii uyo mgombea urais mpya anayemta ndani ya CCM Kama atafanya reform kabla ya uchaguzi.

Nikikumbuka Kikwete ndeye alimuibua huyu tapeli kumleta kwenye bunge la katiba Kama ilivyo kwa makonda alivyomubua na akamtumia kuadaa umma kwenye utawala wa Magufuli. inawezekana kabisa Watanzania wanachezeshwa ngoma wasiojuwa.

Nawaambia Polepole ni tapeli kuliko kawaida anataka kufanya yale ya Dr Slaa, Mbowe, Lowassa,Shibuda,Membe,Sumaye&.com.

Na Watanzania mlivyo mazombie wengi mnachezeshwa ngoma msio ijua.

Nawaambia Huyu ni timu ileile wanatufanyia maigizo tu muda uende tukose reform endeleeni kuwepo mtaona kila rangi ambayo amjawai kuona.

No reform no Election!!
Trojan.
 
Tapeli mkubwa,mimi mtu yoyote anayemsapoti JPM kwa namna yoyote nampinga sana!
I will go for SSH over JPM ,JPM ndio kafanya tupitie huu ushetani
Wewe ndio wale wanasema nyama ya nguruwe haram mchuzi wake halal.

Unamkataa Pole Pole wakati huo alikuwa sio boss kama Sir mia ila unamkubali sir mia wakati huo alikuwa boss na mbili, kwaiyo una go for SSH? Inaelekea SHH akuwepo kipindi cha JPM?
 
Back
Top Bottom