Je, Polepole ni Honey Pot ya wasiojulikana?

Je, Polepole ni Honey Pot ya wasiojulikana?

Lattafa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2025
Posts
498
Reaction score
730
Ndugu wa Balozi amehojiwa na tumemsikia. Kuna maneno na yanayozungumzwa mitandaoni hasa hili la 'chip' ambayo ndio theory yangu inapokuja.

Je, ni kweli Balozi ana bug katika mwili wake au ni scare crow tactic aliyotumia mtoa taarifa kuwatisha watekaji.

Je, kama ni kweli Ana bug basi Lazima Kuna prearranged reinforcement ya kum tracking na possibly rescue.

Wakati utaongea.
 
Kosa kubwa alolifanya Kaka yake ni hili huenda sababu ya kupaniki.

Polepole wameondoka naye akiwa Hai, ila kwakua wamekua ana Chip, watamuua, watamchoma moto.
Unless otherwise hivi Sasa kuwe na movement za Kumtafuta
 
Nchi imeparanganyika. Inahitaji uwe na kichwa kizito na kigumu sana kuamini kama ina kiongozi mkuu makini.
 
Ndugu wa Balozi amehojiwa na tumemsikia. Kuna maneno na yanayozungumzwa mitandaoni hasa hili la 'chip' ambayo ndio theory yangu inapokuja.

Je, ni kweli Balozi ana bug katika mwili wake au ni scare crow tactic aliyotumia mtoa taarifa kuwatisha watekaji.

Je, kama ni kweli Ana bug basi Lazima Kuna prearranged reinforcement ya kum tracking na possibly rescue.

Wakati utaongea.
Sasa kama kweli ana chip unasema ana chip ili iweje?

Ili waliomteka waitoe?

Zile ni geresha tu.
 
Hamweleweki. Mnapingana wenyewe huko CDM.
Makam Mwenyekiti wenu anasema katekwa na aachiwe haraka. Wewe wasema eti yuko Sweden. Yaani kanavyojua kuropokaropoka hako ka Slowslow kazushiwe kutekwa kakae kimya!!
 
Polepole hajatekwa, yupo salama salmini nchini Sweden. Kinachoendelea ni kujaribu kuzima moto wa kapteni Tesha.
I hope this is the case, maana nimekua na siku mbaya sana leo uwii
 
Kuna mawili, either katekwa kweli au wanatuliza upepo wa Capt. Tesha. Wanasiasa sio wa kuaminiwa sana.
Kichwa chako kina chelewa sana kutafsiri mambo kama hadi sasa hizi ndo fikra zako
 
Kosa kubwa alolifanya Kaka yake ni hili huenda sababu ya kupaniki.

Polepole wameondoka naye akiwa Hai, ila kwakua wamekua ana Chip, watamuua, watamchoma moto.
Unless otherwise hivi Sasa kuwe na movement za Kumtafuta
Mnafikiri huyo beans kaongea Hivi Hivi? Hiyo ni code ambayo atakuwa alikubaliana na Polepole. Unaweza kumuona mtu mpumbavu kumbe wewe ndio mjinga
 
Yule kaka mtu kaongea pumba
Yawezekana hiyo ni tactic ya kuwatisha watekaji na kuwanyima uhuru wa kafanya wanavyo taka....sasa hivi huenda wanaogopa wanahisi wanafatiliwa pia...... Nasaport kaka mtu alichokifanya
 
Back
Top Bottom